Lissu: Ole wao nipone

Lissu: Ole wao nipone

IMG-20170921-WA0014.jpg
 
Haya magazeti yametuchosha sasa wamwache Mheshimiwa Tundu Lissu apone. Isiwe kila siku headline ya kutafutia masoko magazeti

Mkuu hii ni njia mojawapo ya kuwafanya wasiopenda kumsikia Lissu waendelee kumsikia maana hakuna njia nyingine.Propaganda ni Lazima.

Kama gazeti linafungiwa sababu tu imeweka front page Tshirt ya Pray4Lissu na hili nalo lifungiwe.

Albadir haijawahi muacha mtu salama
 
Mara yuko critical, hivi, sasa.hayo.ameyasema.akiwa ICU? kwa. Mbwembwe zenu mtamuua huyu mnyapaa
 
Mtu ambaye yuko " Critical but in a Stable condition" hawezi kuwa na ufahamu wa kutoa kauli kama hizi. Mpeni mgonjwa nafasi ili apate matibabu stahiki ili arudi kwa Familia akiwa salama.
Hizi FUTUHI hazisaidii zaidi ya kuwachosha wana familia na Watanzania kwa ujumla.
 
Haya magazeti yanapaswa kupigwa BAN ya miaka 5 hivi, yanaandika upuuzi kama ni kweli yamendika hivi maana kuna photoshop
 
hii ni aibu.Mtu hajawahi kuongea na media halafu gazeti linaibuka na kauli yake.Upotoshaji mtupu umefanyika. Hii habari pia ingeonekana kwenye vyombo vingine vya habari
Sijui tutastaarabika lini

Tumwombee mgonjwa apone hizi drama zingine tuziweke kando...
 
Back
Top Bottom