Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,932
Hawa wanaoikubali ccm wanahitaji bakora haswaaaaaCcm hawakubaliki.. labda kwa kikundi kidogo cha bongolala na akili mgando
Hawa wanaoikubali ccm wanahitaji bakora haswaaaaaCcm hawakubaliki.. labda kwa kikundi kidogo cha bongolala na akili mgando
Broo wasanii ndo wamefwata ccm,, nyimbo za kumsifia rahisi zimeanza kabla ya kampeni. Na wameamua kumuunga mkono baada ya kuona kazi anayofanya.Hahah kwny mikutano yenu acheni kwenda na wakina Diamond,msiwalazimishe wafanyakazi wa serikali waje kwny mikutano yenu,msizifunge shule ili mjaze watoto wa shule kwny mikutano na msikodi ma-bus,lorry kwenda kusomba watu muone kama mtapata hata watu 100.
Kitendo cha Polisi jana kimeiharibia sana CCM na kuitangazia dunia kuwa CCM mpya ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawalaPoliccm na Neccm wanahaha kuinusuru ccm na mgombea wake! Hali ni mbaya. Tukio la kumzuia Mh. Tundu Lissu ni la kushangaza...
'Nyimbo za kumsifia rahisi'.Broo wasanii ndo wamefwata ccm,, nyimbo za kumsifia rahisi zimeanza kabla ya kampeni. Na wameamua kumuunga mkono baada ya kuona kazi anayofanya.
Na hayo malori ni kwajili ya wananchi wa maeneo ambayo wagombea hawataweza kufika kutokana na muda na changamoto za umbali.
Na nyie upinzani msitegemee kuwa kuna raia wa vijijini wanajuaa hata sera yenu moja.
Wao niwakuibiwaga tu eti,mazuzu saba hawa wanyanyembe.Kura zenyewe za kuibiwa ziko wapi?. Wao kila chaguzi wanaibiwa tu, tangu Mbowe, Slaa, lowasa.
Kura zenyewe ziko wapi? Mnaota ndoto za mchana..hivi na akili zako kabisa unaona tobo atapata kura za kuibiwa??Amini usiamini, Tanzania itakuwa kwenye taharuki kubwa ikiwa tume itapuuzia kuendesha uchaguzi huru na wa haki....
Amini usiamini, Tanzania itakuwa kwenye taharuki kubwa ikiwa tume itapuuzia kuendesha uchaguzi huru na wa haki...
Na jana tu kajiongezea malaki ya kula, wao bila kujuaNimesema jana!! Katika umri wangu na uzoefu wangu ikiwemo kusoma historia ya Tanzania. Nchi hii haijawai pata mwanasiasa kiwango cha Tundu Antiphas Lissu...
Amini usiamini, Tanzania itakuwa kwenye taharuki kubwa ikiwa tume itapuuzia kuendesha uchaguzi huru na wa haki....
Kwani Polisi wao walikuwa kivulini ? Kwa taarifa yako jana, ile ilikuwa ni kampeni ya uchaguzi kubwa sana tena ikiendeshwa kwa gharama za Jeshi la Polisi.Ona sasa huu ujinga!
Lisu ana kura za kuiba?....
Lissu anasimamia jambo analoliamini kwa ujasiri hadi unafika muda hadi wewe unaemuangalia au kumsikiliza unasisimka. Huyu jamaa si wa kawaida aiseeNa jana tu kajiongezea malaki ya kula, wao bila kujua
KWA ATAKAYE IBA KURA BORA APATE UGONJWA WA UKICHAA MILELE MAANA WATU HAWA WANATUZUNGUSHA VICHWA SANA TUTAOMBA MASAADA SOUTH KOREA (WOTE HATUWEZI KUWA WATOTO)Amini usiamini, Tanzania itakuwa kwenye taharuki kubwa ikiwa tume itapuuzia kuendesha uchaguzi huru na wa haki.
Nikimaanisha kuwapa haki mawakala wa vyama vyote haki ya kuingia vituoni na kuwapa nakala ya matokeo, wakipuuza tume Mambo haya mawili Kuna hatari kubwa inakuja.
Tazama what happened at Kiluvya? Msichukue kiurahisi Mambo haya.
Nimefikisha
Endelea kufukia vichwa vyenu kwa mchangaLisu hana kura za kuibiwa!
Kawavunja moyo sana watu baada ya kuwa kibaraka zile kauli zake za faragha