kwa namna moja au nyingine mtakubaliana na mimi wadau, Lissu ameshindikana,
CHADEMA wanamshangaa
CCM wanamshangaa
ACT wanamshangaa
Na hata vyama vyote na Watanzania wengi wanamshangaa.
Lissu amebaki ni miongoni mwa watu wachache kabisa humu duniani wasiotishwa na mtu yoyote, ukiangalia kwenye mikutano yake ndani ya CHADEMA wajumbe hawaamini kabisa, ACT pia.
Inakuaje mtu aliyenusurika kifo kwa kupigwa risasi nyingi kiasi kile, amepona halafu bado hajaonyesha kutishwa na lolote? Inakuaje? anajiamini na nini?
Hakuna mtu aliyetarajia kua Lissu ataendelea na harakati zake za siasa lakini cha ajabu ni kama vile ndio moto unazimwa kwa petroli.
Lissu hana hofu kabisa ya kuogopa mtu yeyote, wapinzani wetu na wanaharakati wakishikwa tu kidogo wanaufyata lakini Lissu sijui hana hata chembe ya uoga huyu mtu?
Kwakweli wasiojulikana msimdhuru tena Lissu, huyu ni mtu wa maajabu. Muacheni aendelee kuleta amsha amsha kwenye ulimwengu wa siasa.
Angalia mwanaharakati Roma Mkatoliki aliguswa kidogo tu mpaka akaufyata akaanza kuimba taarabu akaona haitoshi akakimbia na nchi.
CHADEMA wanamshangaa
CCM wanamshangaa
ACT wanamshangaa
Na hata vyama vyote na Watanzania wengi wanamshangaa.
Lissu amebaki ni miongoni mwa watu wachache kabisa humu duniani wasiotishwa na mtu yoyote, ukiangalia kwenye mikutano yake ndani ya CHADEMA wajumbe hawaamini kabisa, ACT pia.
Inakuaje mtu aliyenusurika kifo kwa kupigwa risasi nyingi kiasi kile, amepona halafu bado hajaonyesha kutishwa na lolote? Inakuaje? anajiamini na nini?
Hakuna mtu aliyetarajia kua Lissu ataendelea na harakati zake za siasa lakini cha ajabu ni kama vile ndio moto unazimwa kwa petroli.
Lissu hana hofu kabisa ya kuogopa mtu yeyote, wapinzani wetu na wanaharakati wakishikwa tu kidogo wanaufyata lakini Lissu sijui hana hata chembe ya uoga huyu mtu?
Kwakweli wasiojulikana msimdhuru tena Lissu, huyu ni mtu wa maajabu. Muacheni aendelee kuleta amsha amsha kwenye ulimwengu wa siasa.
Angalia mwanaharakati Roma Mkatoliki aliguswa kidogo tu mpaka akaufyata akaanza kuimba taarabu akaona haitoshi akakimbia na nchi.