Naunga mkono HOJA.
Lissu angalau anaeleweka, na akiongea anamaanisha.
Tuhakikishe bila Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya, haufanyiki uchaguzi wowote!!
Kutokuliandika Jina la Mzee wetu "Warioba",Kila mtu ana mapungufu yake ila wengine ni umbumbumbu zaidi. Wanadhani siasa ni Simba au Yanga.
Tuutafute umoja:
"TAL, Zitto, Jussa, Mwabukusi, Mdude, Nshalla, Slaa, Shivji, Ulimwengu, Kitila, Mpina, Madeleka, Kigaila, Maria Sarungi, askofu Mwamakula, askofu Bagonza, Father Kitime, Sheikh Ponda na wa namna hiyo."
Timu ya ushindi hIyo hapo.
Kama jina lako halikutajwa jitafute kwenye "wa namna hIyo."
Wanatakiwa waliodhamiria na kuamini kwenye uhuru, haki, usawa na demokrasia Kwa maneno na Kwa vitendo.
Nani tena shoga mkuu?Mara buku CCM waendelee kutuchuna kodi zetu kuliko kuwapa nchi Mashoga!
Kutokuliandika Jina la Mzee wetu "Warioba",
List haikamiliki!!
Erythrocyte akiona hii mada anaweza ht kukufata PM ili muwe marafiki
Hii ndiyo maana halisi ya fredomu ofu akspresheniNa huko ndiyo ukweli wenyewe:
"The lord can't forget his people "
Hauna kifua cha kuhimili tofauti za mitazamo, nahofia utaanza matumizi ya zile lugha zako unazozijua, unless nikuunge mkono ndio unapenda.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Yaani watu wa aina yako kuendelea kuishi ulimwengu huu ni neema ya Mungu tuu, lakini kwetu wanadamu hungestahili kuendelea kuwa nasi maana hata sokwe anakuzidi akili.Mara buku CCM waendelee kutuchuna kodi zetu kuliko kuwapa nchi Mashoga!
Umenena !!Nchi za kiafrika huwa zinaongozwa kwa 'rimoti kontrol' toka kwa mabwanyenye...
Wabonyeza rimoti huwa hawapendi watu wenye kuhoji hoji kama hao kina TAL, JPM, Mugabe, Gadaffi n.k
Huwa wanapenda ngoma tupu au dafu bila maji...
Yaani watu wa aina yako kuendelea kuishi ulimwengu huu ni neema ya Mungu tuu, lakini kwetu wanadamu hungestahili kuendelea kuwa nasi maana hata sokwe anakuzidi akili.
Kichwa yako haiko sawaImeandikwa katika misahafu kuwa, Mungu hataliacha taifa lake.
View attachment 2845647
"The lord can't forget his people."
Kwa hakika katika zama hizi ni kupitia kwa mja wake TAL:
1. Tofauti na wote, TAL anao usomi, uelewa, uungwaji mkono, wafuasi, charisma, uthubutu, nk unaohitajika kulikomboa taifa hili.
2. TAL ni Nyerere, Mandela, Che Guevara, Castro, Gandhi, nk wa zama zetu.
3. TAL ni wa aina za kina Shivji, Ulimwengu, Kingunge, Chachage, Mtikila, Maalim Seif na wa namna hiyo; akiwaongelea Nyerere kama vijana jeuri wa zama zake alioota mno watanzania tuwe nao siku zote.
4. TAL ni wa aina ya kina Mwabukusi, Slaa, Ismail Jussa, Nshalla, Madeleka na wa namna hiyo wa zama hizi.
5. TAL si mbinafsi, si mnafiki, hamung'unyi maneno, ameelimika na anajua namna ya kuitendea haki elimu na ufahamu wake.
6. TAL ni hazina ya thamani mno, lulu au dhahabu safi kwa taifa hili.
7. Kina Mdude ni wa aina ya kina TAL wanaokosa elimu ya kutosha; elimu haina mwisho hawa ni hazina inayo hitaji nurturing ya akina Lissu, Slaa, Mwabukusi na wa namna hiyo; ukikaa na waridi nawe utanukia; kina Mdude watafika kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha.
8. TAL apewe nafasi aionyooshe CHADEMA; tunahitaji mageuzi ya msingi ndani ya chama hiki pendwa, sasa!
9. Tatizo lililopo Tanzania lipo vyamani kote, lakini sisi nani kuwapa ushauri CCM, CUF, UDP au wa namna hiyo?
10. Ni upuuzi watanzania kukosa heshima au shukurani; kwani wapuuzi hata hawajui heshima wala inatokea wapi:
Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima
11. Ni upuuzi watanzania kukosa nidhamu kwani wasiokuwa na nidhamu hawajui hata umuhimu wake:
Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama
12. Ni ujinga uliopitiliza watanzania kutojua tofauti za vyama; kwanini vinatofautiana au hata vinasimamia nini:
Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama
13. Combination hii ni ya kutafuta kwa udi na uvumba panapo majaliwa kuwa chini ya mwamvuli mmoja:
"TAL, Zitto, Jussa, Mwabukusi, Mdude, Nshalla, Slaa, Shivji, Ulimwengu, Kitila, Mpina, Madeleka, Kigaila, Maria Sarungi, askofu Mwamakula, askofu Bagonza, Father Kitime, Sheikh Ponda na wa namna hiyo."
14. #13 ni combination ya ushindi.
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe.
Mungu umbariki TAL.
Unalazimisha tu mambo, kauli ya Lissu haiwezi kuchukuliwa kama kauli ya chama kwa sababu yoyote ile, chama hutoa tamko pale ambapo watakutana wajumbe kisha kuja na msimamo mmoja, jambo ambalo halijafanyika popote.1. Hoja hupingwa kwa hoja.
2. Fahamuni imani, misimamo na protokali za chama.
3. Kuweni na heshima mjue kauli za Lissu ni kauli za chama:
View attachment 2845734
4. Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima
5. Mnatia huruma kwa sababu hamjielewi wala kujihurumia.
Ona ulivyokosa self control, una uwezo mdogo wa kupembua mambo.
Ndio uwaite mashoga? Umehukumuje kuwa ni mashoga kama unazo akili timamu na sio zilizozidiwa hata na sokwe?Sasa Chama cha kijani na hao upande wa pili wana tofauti gani?? Wote ni walewale tu! Tena bora hawa CCm, hao ndugu zako watatuletea vita na sheria za kiboya kwenye nchi hii!!
Kaa kwa kutulia subiri vijana wenye akili timamu watatuletea mapinduzi ya kweli na chama cha siasa bora nchini.
Maendeleo ya kweli yanakuja lakini hayatoletwa na hiko chama chako.
Narudia tena Bora CCM kuliko hao ambao hata chama chao wanashindwa kukiongoza.
Kichwa yako haiko sawa