Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Tume ilikabidhi Taarifa yake na, naambiwa, imethibitisha kuwa tuliuziwa ndege kuukuu. Taarifa hiyo imekaliwa mahali.
Hakika hii taarifa ni kati ya mafaili Magufuli aliyosema huwa anaficha chini ya kitanda anacholala yeye yan hta anayelala naye hawezi yaona.
Hakika hii taarifa ni kati ya mafaili Magufuli aliyosema huwa anaficha chini ya kitanda anacholala yeye yan hta anayelala naye hawezi yaona.