Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Utamaduni wa hilana uongo tuukutae kwa nguvu zote
Mtajua hamjui mwaka huu, mnadhani Robest Amsterdam ni yeye tu???😂😂😂😂 kweli ukilaza ndo unawaangamiza Ccm mwaka huuPia ameahidi kuondoka na Amsterdam.
umesoma katiba ya chadema na sera zao?!Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Kuna Mwanasiasa anayeijua Tanzania na maeneo yake mpaka vijiji kumshinda Lissu??Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Safi sana mkuu, umeifanya Siku yangu hii ianze vyema sanaKwa nini atoe ahadi vitu ambavyo ni wajibu wa serekali kufanya?!
Hapo ni mkoa wa mtwara1. Ameahidi kuweka rehani madini.
2. Ameahidi kuifanya nchi kuwa ya kishoga.
3. Ameahidi kuigawa nchi vipandevipande.
Kama huo ndo uwezo wake wa kufikiri + matusi kwa wingi, unataka aahidi nini zaidi?
Wananchi wanalipa kodi ili wapate maji,umeme,barabara,afya,etc,sasa utaahidi kuwapa vitu ambavyo ni haki yao?Si utakuwa ni mwendawazimu wewe?Safi sana mkuu, umeifanya Siku yangu hii ianze vyema sana
Acha unafkii wewe mzee ovyoo sana, umesoma lakini huja elimika.Hiki ndicho alichokisema Ndugu yangu Machanda Mukandamijaji
Nami kumripoti humu jf
PUchaguzi 2020 - Kuona ni Kuamini: Je, Oktoba 28, utachagua nini kati ya unachoona kwa macho kitu cha ukweli kilichopo vs ahadi tupu? Msikilize Masanja Mkandamizaji...
Wanabodi, Sisi wana tasnia ya habari, kwenye uchaguzi huu, zaidi ya kuwahimiza watu na kuwahamasisha, hiyo tarehe 28 October, wajitokeze kwa wingi, kwenda kupiga kura, na kuitumia haki yao ya kidemokrasia, kuwachagua viongozi wanao wataka, media pia tuna wajibu wa ziada wa kuwaelimisha...www.jamiiforums.com
Halafu mimi sikuwahi kujua kama ni mzee hivi dahUnazeeka vibaya
KabisaWananchi wanalipa kodi ili wapate maji,umeme,barabara,afya,etc,sasa utaahidi kuwapa vitu ambavyo ni haki yao?Si utakuwa ni mwendawazimu wewe?
Mpe madongo yake lakini usimkosee heshima ni mzee wetu huyu mkuu japo Binafsi kani disappoint sana piaAcha unafkii wewe mzee ovyoo sana, umesoma lakini huja elimika.
akili kisoda.....ngoja tuitoe Ccm madarakani upate kukombolewa akili zako.
useless kabisa wewe. nyie ndo mnafanya wasomi wadharaulike kwa sababu ya watu kama wewe.
kwa akili zako unayejiita msomi, unadhani kujenga vitu ndo maendeleo ya watu.
shwain sana wewe msomi uliyeshikiwa akili na maendeleo ya vitu.
Hukuna mgombea mwenye kujielewa atakayetoa ahadi za barabara kwa sababu ni dhahiri.
Hakuna Serikali Duniani isiyojenga barabara. Hivi mzazi anaweza kumwahidi mwanae asiyefikia uwezo wa kujitegemea kuwa nitakupa chakula?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe kumbe ni wa manzese! Nilikuwa nakuweka grade ya wasomi, kumbe ni hao hao!Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Acha ubwege kwani kampeni ni km za lami? Kweli ccm imejaa mabwege watupu!Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Hatuishi kwa lami Bali katika kila Neno linalotamkwa kwenye kinywa cha bwana..haleleuyaaKwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Nadhani ni uwezo mdogo wa kufikiri kudhani kwamba kila mwenye maoni au mtazamo tofauti na wako basi anafanya hivyo ili apate elfu 7. Hizo ni hoja za kitoto sana. You'll do better if you think outside the box!Binafsi moyo huwa unapata joto Kali ninapoona kijana amezeshwa ujinga nayeye bila kuutafakari kwamba watawala wanamtumia ili waendelee kujengeana majumba licha yakuibiia Nchi nawewe unaishia kupewa elf 7 tu AMKA ndugu utaishia kuwa Punching bag la watawala
Mnakunyagwa sumu..kutoa ahadi ni rushwa kasome sheria ya gharama za uchaguzi.unatakiwa tu ueleze yaliyo ktk ilani yako.Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.