Uchaguzi 2020 Lissu kiboko, anamaliza kampeni bila kutoa ahadi ya hata Kilomita 1 ya lami

Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
umesoma katiba ya chadema na sera zao?!

si kila kitu akisemee jukwaani, alafu miaka 50+ bado unanzungumzia barabara za lami, maji na umeme kweli!

bro hii nchi inaitaji mifumo mizuri ili vyote tunavyovitaka vipatikane kwa wakati sahihi.

kwa miaka zaidi 50, CCM wameshindwa kutengeneza mfumo wa kuendesha Nchi.

Sisi baadhi ya wananchi tuna sema ccm inatosha tunaitaji mabadiliko ya kweli, ndo maana imani kubwa ipo kwa chadema na Tundu lissu.
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Kuna Mwanasiasa anayeijua Tanzania na maeneo yake mpaka vijiji kumshinda Lissu??


Sasa uvijue Vijiji, Usijue barabara.



Siku nyingine Demu wako akikuumiza, ukija humu, nitawakumbusha wana Tukuache ujinyonge.
 
1. Ameahidi kuweka rehani madini.
2. Ameahidi kuifanya nchi kuwa ya kishoga.
3. Ameahidi kuigawa nchi vipandevipande.
Kama huo ndo uwezo wake wa kufikiri + matusi kwa wingi, unataka aahidi nini zaidi?
Hapo ni mkoa wa mtwara
Hayo ni maji yanatoka kwenye mabomba

Sasa si bora kuweka rehani madini nipate maji masafi?
 

Attachments

  • 2020-10-25 09.17.05.png
    2020-10-25 09.17.05.png
    575.2 KB · Views: 1
Hiki ndicho alichokisema Ndugu yangu Machanda Mukandamijaji


Nami kumripoti humu jf
P
Acha unafkii wewe mzee ovyoo sana, umesoma lakini huja elimika.

akili kisoda.....ngoja tuitoe Ccm madarakani upate kukombolewa akili zako.

useless kabisa wewe. nyie ndo mnafanya wasomi wadharaulike kwa sababu ya watu kama wewe.

kwa akili zako unayejiita msomi, unadhani kujenga vitu ndo maendeleo ya watu.

shwain sana wewe msomi uliyeshikiwa akili na maendeleo ya vitu.
 
Acha unafkii wewe mzee ovyoo sana, umesoma lakini huja elimika.

akili kisoda.....ngoja tuitoe Ccm madarakani upate kukombolewa akili zako.

useless kabisa wewe. nyie ndo mnafanya wasomi wadharaulike kwa sababu ya watu kama wewe.

kwa akili zako unayejiita msomi, unadhani kujenga vitu ndo maendeleo ya watu.

shwain sana wewe msomi uliyeshikiwa akili na maendeleo ya vitu.
Mpe madongo yake lakini usimkosee heshima ni mzee wetu huyu mkuu japo Binafsi kani disappoint sana pia
 
Hii ndio Chadema sasa nimeelewa ndio maana ameahidi kufuta kodi bila kueleza vyanzo vya mapato
Hukuna mgombea mwenye kujielewa atakayetoa ahadi za barabara kwa sababu ni dhahiri.

Hakuna Serikali Duniani isiyojenga barabara. Hivi mzazi anaweza kumwahidi mwanae asiyefikia uwezo wa kujitegemea kuwa nitakupa chakula?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Nawe kumbe ni wa manzese! Nilikuwa nakuweka grade ya wasomi, kumbe ni hao hao!
 
Acha
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Acha ubwege kwani kampeni ni km za lami? Kweli ccm imejaa mabwege watupu!
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Hatuishi kwa lami Bali katika kila Neno linalotamkwa kwenye kinywa cha bwana..haleleuyaa
 
Binafsi moyo huwa unapata joto Kali ninapoona kijana amezeshwa ujinga nayeye bila kuutafakari kwamba watawala wanamtumia ili waendelee kujengeana majumba licha yakuibiia Nchi nawewe unaishia kupewa elf 7 tu AMKA ndugu utaishia kuwa Punching bag la watawala
Nadhani ni uwezo mdogo wa kufikiri kudhani kwamba kila mwenye maoni au mtazamo tofauti na wako basi anafanya hivyo ili apate elfu 7. Hizo ni hoja za kitoto sana. You'll do better if you think outside the box!
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Mnakunyagwa sumu..kutoa ahadi ni rushwa kasome sheria ya gharama za uchaguzi.unatakiwa tu ueleze yaliyo ktk ilani yako.
 
Back
Top Bottom