Uchaguzi 2020 Lissu kiboko, anamaliza kampeni bila kutoa ahadi ya hata Kilomita 1 ya lami

Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Zile milioni hamsini kila kijiji mlipata? Laptop kwa kila mwalimu zilitoka? Mnapenda sana kudanganywa ndiyo maana mijitu mizima inakenua na kusema mitano tena, upuuzi mtupu.
 
Wewe mbona una kwako kwa miaka Mingi Sasa lakini bado huwezi kuilisha familia yako tu Milo mitatu kwa Siku?

Watanzania punguzeni unafiki.
Alishawahi kukupiga mzinga? Kama wewe nanga imepaa unafikiri kila mtu yuko kama wewe.
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Hata wakoloni walijenga lami wee zezeta.
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Inatafutwa tiba mujarabu,kwa magonjwa sugu yanayolikabili taifa ,mengine ni mtetemko.
 
Miaka 60 ya Uhuru unatoa ahadi ya barabara upumbavu!!!

Wakati unajuwa automatically zitajengwa hata usipotoa ahadi.

Tunataka mitazamo mipya na mambo yanayohusu maendeleo ya watu.

Watu wajiamulie maendeleo yao sio kuamuliwa.

Na wakina Jiwe, Makonda na dotto James.
Uk au USA wanavyojenga infrastructure, ni watu wanaamua au serikali iliyopo
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Umeambiwa kwanza uhuru haki namaendeleo yawatu ndipo vingine vitafata siku 100 zakwanza katiba mpya na stahiki zawatumishi pia wahanga mbalimbali kamavile wavuvi bomoabomoa vyeti feki kila mtu kulipwa stahiki zake sasa wewe unatuletea mambo yalami aliyafanya mkoloni lakini alitunyima uhuru tulimfurusha
Kwakuwa hata utengenezewe hyper lop kama huna uhuru nisawa na mavi yambweha
Eti hakuzungumza ufisadi kasema uwanja chato mandege ufisadi mtupu yeye namwipwa wake heri jems kumbe husikii acha uzwazwa
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Tatizo ameshupalia kuiponda ccm akisahau popote aendako anatakiwa awe amepewa matatizo ya hiyo sehemu na yeye atawafanyia nini raia...its simple, Tundu Lissu he's an amateur, bado sana sana...a small fish in a big pond, kazidiwa..FACT..
 
Atalwambia "ujenzi wa barabara si kazi ya serikali" bali kazi ya serikali ni "kuleta haki na kuachia mahabusu"
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
 
1. Ameahidi kuweka rehani madini.
2. Ameahidi kuifanya nchi kuwa ya kishoga.
3. Ameahidi kuigawa nchi vipandevipande.
Kama huo ndo uwezo wake wa kufikiri + matusi kwa wingi, unataka aahidi nini zaidi?

Magufuli kila akipita anaahidi ngono tu. Ona jana Karatu. Ujinga wajinga tuuu
 
1. Ameahidi kuweka rehani madini.
2. Ameahidi kuifanya nchi kuwa ya kishoga.
3. Ameahidi kuigawa nchi vipandevipande.
Kama huo ndo uwezo wake wa kufikiri + matusi kwa wingi, unataka aahidi nini zaidi?
Binafsi moyo huwa unapata joto Kali ninapoona kijana amezeshwa ujinga nayeye bila kuutafakari kwamba watawala wanamtumia ili waendelee kujengeana majumba licha yakuibiia Nchi nawewe unaishia kupewa elf 7 tu AMKA ndugu utaishia kuwa Punching bag la watawala
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Utatoeje ahadi ya ndege au barabara ya lami wakati huyo unaye muhutibia hata kusafiri kutoka hapo alipo hawezi?
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Wewe ni bumunda kweli? shule ,Barabala,/miundo mbinu,siyo vitu vya kuahidi .Hata Raisi angekuwa kingwendu lazima vingejengwa tu?
Ni mshamba peke yake anaweza kupanda jukwani na akasema nitawajengea Barabala au shule au majengo ya zahanati.

Kina Trump wapo kwanye kampeni,umeona anaahidi kujenga au kutembea na kundi la waigizaji wenye njaa?
 
Kweli CCM imewafanya akili zenu zidumae, kwa iyo kwa upeo wako unaona barabara ndo jambo la kuongelewa na Raisi kwenye kampeni?

Barabara, Maji na Shule kiujenzi ni majukumu ya msingi ya serikali yeyote ile hata iwe ya chizi.

Kwenye kampeni watu wanajadili mfumo wa elimu, mfumo wa afya, mfumo wa pensheni, uchumi, ajira, Sera ya mambo ya nje, kodi na uwekezaji.

Ndo mana tukisema hapo Lumumba mmejaa vilaza muwe mnatuelewa

Inasikitisha sana. Watu wanafikiri maana ya “sera” ni kusema “tutajenga barabara, reli, viwanja vya ndege, mahospitali, mashule, tutanunua ndege, n.k. tena kwa pesa zetu!”?

Hawajui kuwa sera maana yake halisi ni mikakati mikubwa ya kuhakikisha jinsi ya kuongeza ukuaji wa uchumi kwa rasilimali za nchi na kuwezesha upatikanaji wa huduma za kisasa za kijamii kwa gharama nafuu kwa wananchi wote. Hapo ndipo ilipo “connection” ya miundombinu na maendeleo ya watu. Ujenzi wa miundombinu lazima uwianishwe na uwe sehemu ya mikakati hiyo.

Si suala la mtu kuamka na kusema tunajenga hiki, kile, pesa tunazo! That’s too crude. Wananchi wanataka kusikia maisha yao yataboreshwaje.

Ujenzi wa miundombinu hautakuwa na maana yoyote kama hautaweza kutafsiriwa katika maendeleo na maisha bora kwa wananchi. Utabakia kuwa uchochoro wa ufisadi mkubwa wa rasilimali za taifa. Marekani na Ulaya wanapojadili bajeti zao huwa wanakuwa makini sana na miradi hiyo kwani wanajua mafisadi na wanaotafuta umaarufu mrahisirahisi wanakimbilia miradi ya aina hiyo ambayo mwishowe inaweza kila hela kubwa bila kuwa na tija kwenye uchumi.
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Nchi zilizoendelea hazitoi ahadi za lami, wajibu wa serikali yoyote hata ya mkoloni ni kujenga miundombinu, hii ni lazima ndiyo sababu mkoloni alijenga miundombinu ya barabara nchi mzima na kuweka meli kwenye ziwa Tanganyika na Vikitoria ambazo mpaka leo zinatumia, na alinunua ndege. Yote hata mkoloni aliyafanya bila kuweka ahadi ila alitimiza kama ni wajibu wa serikali yake kutokana na kodi anazokusanya. Ahadi zinazotakiwa ni za utoaji wa huduma za afya, elimu, kilimo, ufugaji, uvuvi na vinginevyo vinavyowahusu wananchi moja kwa moja, jiulize ulaya utaweka ahadi ya kujenga nini ambacho watu watakupigia makofi! Na chaguzi zinafanyika kama huku, ufinyu wetu wa kupambanua mambo ndiyo unatufanya tuone wagombea wanatoa ahadi za kujenga barabara wakati ni jukumu la lazima la serikali.
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Hakuna mgombea mwenye kujielewa atakayetoa ahadi za barabara kwa sababu ni dhahiri.

Hakuna Serikali yoyote Duniani isiyojenga barabara. Hivi mzazi anaweza kumwahidi mwanae asiyefikia uwezo wa kujitegemea kuwa atampa chakula?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.

Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.

Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.
Mipango ya Barabara ijengwe wapi na km ngapi, si kazi ya wanasiasa. Ni kazi ya wataalamu wanaolipwa kwa kazi hizo. Lissu kajikita katika kurekebisha mifumo ambayo sisi CCM tumeiacha iumize wananchi muda mrefu kwa kuwa inatubeba na imeshaota mizizi ndio maana wapinzani wanapata mambo ya kuongea.
 
Mkuuu FICHA UJINGA WAKO.kwa mfumo wa kisiasa wa majimbo Rais hawezi kuwa na ahadi za barabara.

Barabara zooote zinakuwa chini ya wananchi.

Kwani huyo jiwe anaehaidi barabara si hadi apate kodi zetu wananchi.

USIJE UKAZANI JIWE ANA HELA HATA 200 ZILE NI KODI ZETU WANANCHI.
 
Back
Top Bottom