SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,703
- 60,825
Zile milioni hamsini kila kijiji mlipata? Laptop kwa kila mwalimu zilitoka? Mnapenda sana kudanganywa ndiyo maana mijitu mizima inakenua na kusema mitano tena, upuuzi mtupu.Kwa Mara ya kwanza katika historia ya upinzani mgombea urais Tundu Lissu ameshiindwa kutoa ahadi ya hata KM moja ya barabara.
Maoni yamekuwa mengi kutoka kwa wapiga kura huku wengi wakidai kuwa hajui barabara nyingi kutokana na kukaa nje kwa muda mrefu.
Pia Chadema kwa mara ya kwanza Hanna sehemu yoyote katika jukwaa lao walipoituhumu CCM kwa ufisadi, kweli mambo yanakimbia sana.