johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Yalikuwa mahojiano bora Kabisa tangu nianze kuifuatilia Kipindi cha Dakika 45 enzi za Buholela.
Mtangazaji Middle alijiandaa vilivyo kwa maswali na Tundu Antipas Lissu alikuwa na majibu kabla hata ya swali.
Hapakuwa na mizaha wala kupotezeana muda, Kazi kazi tu.
Haya ndio majadiliano siyo yale ya Tundu Lissu na akina Kija fit Sasali kule Mawingu.
Kongole kwenu TAL na Middle, pia ITV.
Mtangazaji Middle alijiandaa vilivyo kwa maswali na Tundu Antipas Lissu alikuwa na majibu kabla hata ya swali.
Hapakuwa na mizaha wala kupotezeana muda, Kazi kazi tu.
Haya ndio majadiliano siyo yale ya Tundu Lissu na akina Kija fit Sasali kule Mawingu.
Kongole kwenu TAL na Middle, pia ITV.