Mburia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,416
- 3,592
Lissu kawaambia kama ulitenda mema utasemwa kwa mema, kama ulitenda mabaya utasemwa kwa mabaya kama akina Iddi Amini, jiandae tuu kisaikolojia..Hawa wapinzani wasichokielewa mpaka leo ni kwamba wakimsema vibaya Magu wanazidi kulipoteza kundi kubwa la wafuasi wake. Kwani kuna ulazima gani wa kumshambulia kama haina political gain, hata kama alikuwa mbaya kweli?