Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Siku ya nne mfululizo, Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam inaendelea kusikiliza mapingamizi ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu, mapingamizi yaliyowekwa na mshtakiwa mwenyewe
Leo, Alhamisi Septemba 11.2025 Mahakama inaendelea kusikiliza hoja za mshtakiwa kwenye mapingamizi hayo, leo akitarajiwa kujibu hoja zilizoibuliwa na upande wa Jamhuri unaopinga mapingamizi hayo
Kutoka Mahakamani hapo, tunakusogezea kuona namna Tundu Lissu alivyofikishwa mapema leo akiwa chini ya ulinzi mkali.
Chanzo: Jambo Tv
Leo, Alhamisi Septemba 11.2025 Mahakama inaendelea kusikiliza hoja za mshtakiwa kwenye mapingamizi hayo, leo akitarajiwa kujibu hoja zilizoibuliwa na upande wa Jamhuri unaopinga mapingamizi hayo
Kutoka Mahakamani hapo, tunakusogezea kuona namna Tundu Lissu alivyofikishwa mapema leo akiwa chini ya ulinzi mkali.
Chanzo: Jambo Tv