Uchaguzi 2020 Lissu atarudisha fomu na kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais, hakuna wa kumzuia

Huyo bichwa baya wenu asiyejua kuongea kiingereza, mara hii ataishia the Hague la sivyo akimbilie kwao Rwanda.

Tutamgombea na kumchanachana vipande mithili ya digidigi aliyeraruliwa na mbwa mwitu kule Serengeti.
Kujua kiingereza kwa lissu huku hana maelekezo ni sawa na kujua kuongea kijauo tuu.
 
Mimi natamani wamkate ili kinuke tu maana heshima haiji hivi hivi, kikishanuka ndio itakuwa mwanzo na mwisho kwa chama chochote cha siasa kutambua ya kwamba uongozi ni dhamana tu na ukishapewa dhamana fanya yale wanachanchi waliokutuma kufanya
Kwanini usitamani wamkate mgombea wa CCM ili wao wawe wa kwanza kukinukisha?
 
Daaah yaan hii Kiki imetufanya ata sisi tusiopenda siasa tutamani kuangalia ubaoni iyo saa kumi jioni. Patamu apo

Haki Huinua Taifa
 
Hivi hamuwezi kukaa polepole,mnaropoka sana na huyo mgombea wenu sio threat na hakuna mahali anaenda.
 
Mimi natamani wamkate ili kinuke tu maana heshima haiji hivi hivi, kikishanuka ndio itakuwa mwanzo na mwisho kwa chama chochote cha siasa kutambua ya kwamba uongozi ni dhamana tu na ukishapewa dhamana fanya yale wanachanchi waliokutuma kufanya
Labda namna hii ccm itaanza kutuheshimu maana wanawachokoza watz kila siku ili wakinukishe lkn tumekaa kimya.....

Sasaaaaa........ Baaasssss......
 
Let's face it!
Yaani badala ya kususia uchaguzi na kusisitiza Tume Huru mnakuja kujificha huku na haya matumaini hewa!!??
Wakisusa watajimaliza wenyewe, rejea kilichotokea uchaguzi serikali za mitaa.
 
Kumhofia Lissu ni aibu kwa Magufuli na CCM chama kinachojinasibu kufanya mambo makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka mitano tu.

Watanzania wamefika ukomo wa uvumilivu. Kama NEC watarubuniwa kisha kujaribu kumuengua Lissu wajue kwamba nchi haitakalika kwa vurugu.

CCM, nyie si mmejenga madaraja, sasa wasiwasi ni wa nini juu ya kushinda uchaguzi?
Wanajitoa ufahamu
 
25 August 2020

CCM na serikali yake imekuwa na vikao visivyoisha kutafuta mbinu, sababu, na kupima matokeo ya kumkwamisha Lissu ili asiweze kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo Octoba 28 2020.

Mpaka kufikia jana options zote za kumkata Lissu zilikuwa ni ngumu sana. CCM mpaka sasa imebaki na plan ya mwisho ambayo hutumika katika kila uchaguzi mkuu. Tofauti na ilivyo miaka yote, wafuasi wengi wa CCM wenye dhamana ya kukivusha chama wanahofia huenda plan hiyo ikakwama. Lakini kuna mkono mwingine wa hesabu za kijinga za a = b, b = c, then a = c za yule kamanda mpana kama paja la tembo ndizo zinawapa matumaini kwa sasa.

PI
walikuwepo wakubwa zaidi yake walikatwa sembuse yeye atakatwa na nchi itatulia
 
Wakisusa watajimaliza wenyewe, rejea kilichotokea uchaguzi serikali za mitaa.
Muda wa kususa ulishapita kitambo... Sa hivi ni kuhamasisha wananchi wawe upande wao...
Jiwe kwa jiwe...
Jino kwa jino...
Ngumi kwa ngumi...
Waache kulia lia kama vichekechea...
 
Kuongoza chadema ni raha sana, hakuna mwenye akili ya kuhoji!
Aliyesema Lisu atakatwa ni nani ???
Labda niwakumbushe tu
kugombea ni haki yake!
kupiga kura ni haki yetu!
kura siyo ushabiki,
Kumbuka, tunapiga kura kwa faida yetu na watoto na kizazi kijacho!

Na maandiko yapo wazi, mwenye nacho ataongezewa
jiandaeni .......
 
25 August 2020

CCM na serikali yake imekuwa na vikao visivyoisha kutafuta mbinu, sababu, na kupima matokeo ya kumkwamisha Lissu ili asiweze kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo Octoba 28 2020.

Mpaka kufikia jana options zote za kumkata Lissu zilikuwa ni ngumu sana. CCM mpaka sasa imebaki na plan ya mwisho ambayo hutumika katika kila uchaguzi mkuu. Tofauti na ilivyo miaka yote, wafuasi wengi wa CCM wenye dhamana ya kukivusha chama wanahofia huenda plan hiyo ikakwama. Lakini kuna mkono mwingine wa hesabu za kijinga za a = b, b = c, then a = c za yule kamanda mpana kama paja la tembo ndizo zinawapa matumaini kwa sasa.

PI
Week yote kumekuwa na vikao vingi kati ya NEC jaji kaijage binafsi kakaa na IGP Shibuda Lipumba polepole kujadili jinsi ya kumkomoa Tundu lisu kuidhoofisha chadema
 
Kumhofia Lissu ni aibu kwa Magufuli na CCM chama kinachojinasibu kufanya mambo makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka mitano tu.

Watanzania wamefika ukomo wa uvumilivu. Kama NEC watarubuniwa kisha kujaribu kumuengua Lissu wajue kwamba nchi haitakalika kwa vurugu.

CCM, nyie si mmejenga madaraja, sasa wasiwasi ni wa nini juu ya kushinda uchaguzi?
Lissu ni Samson wa leo. Anaua Simba kwa mikono.
Ccm wanajua ushindi ni wao,ila hata wakimkata watamkata kwasababu ya hofu ya kupata magonjwa ya moyo baada ya Tundu Lissu kuanza kampeni,CCM ya sasa inaogopa sana ushindani wa hoja,tofauti na ile CCM ya kabla ya 2016,waoga halafu wanapenda kusifiwa sana.
CCM kushinda labda wapinzani washindwe kutoa kampeni zinazowagusa watanzania wa hali ya Chini na kati ambao wanaweza kuendelea na maisha yao bila kuwa na Bombadier ,Stiglers Gorge na Reli. Kabala ya Kuja mifumo kandamizi ya kizungu inayoendelezwa na CCM Kilwa ulikua ni mji mkubwa sana Duniani wenye wafanyabiashara na matajiri wengi sana walioendesha maisha yao vizuri.
Hapakua na ndege wala Reli.
Maisha ya watu ili yawe mazuri inahitajika fursa nzuri za kiuchumi na sheria rafiki kwa mtu yeyote kufanya biashara.

Hakuna mtu akiyeshindwa kwenda China kwa sababu ya kukosa usafiri wa ndege. Ndege zipo hata kama sio za kwetu lakini zinauwezo wa kutufikisha tunakokwenda.
Kuchukua pesa za kuwaongeza walimu mishahara na kununua ndege ili hali watu miaka yote wanasafiri bila kukosa usafri ni kuelekeza vipaombele vya Nchi vibaya.
 
Kumhofia Lissu ni aibu kwa Magufuli na CCM chama kinachojinasibu kufanya mambo makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka mitano tu.

Watanzania wamefika ukomo wa uvumilivu. Kama NEC watarubuniwa kisha kujaribu kumuengua Lissu wajue kwamba nchi haitakalika kwa vurugu.

CCM, nyie si mmejenga madaraja, sasa wasiwasi ni wa nini juu ya kushinda uchaguzi?

Bravooooooo!!!!
 
Back
Top Bottom