Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,388
- 9,758
Kila unalochangia ni uharo why?Mama kawavuruga hawa wapinzani 🤣🤣
Sasa hivi wameanza kupingana wao wenyewe.a uharo tu...
Kila unalochangia ni uharo why?Mama kawavuruga hawa wapinzani 🤣🤣
Sasa hivi wameanza kupingana wao wenyewe.a uharo tu...
Ni kawaida hayo.Unajitahidi kuandika lakini wachangiaji wamekupuuza
Kuna mitz haijui mlio wa risasi live inapeendaaaa kusikia, Ngoja nifunge maombi itokee hvo hata miaka mitano tuwe kama Afganstan tuenjoy movie za mabom😂😂Kwa kuwa ccm imetufikisha huku tulipo Basi mtambue kuna watu fulani wamesikia ushauri wa kigogo!!WATAANZISHA JESHI LA MSITUNI KWA MSAADA WA MATAJIRI FULANI WA NJE AU NDANI!!!HADI CCM ISHTUKE KUWA WAO NDIYO WAASISI WA UGAIDI,MACHAFUKO WATAKUWA WAMESHA CHELEWA SANA NA DAMAGE ITAKUWA DONE!!!!!
Na wakati yeye anapinga kitu, kwa upande mwingine HATAKI kupingwa!! Upuuzi zaidi ni pale anapotaka yeye tu ndo aonekane ndie mwenye info za ndani!!Kigogo ni attention seeker
Yeye anapinga kila kitu.
Kwa kuwa ccm imetufikisha huku tulipo Basi mtambue kuna watu fulani wamesikia ushauri wa kigogo!!WATAANZISHA JESHI LA MSITUNI KWA MSAADA WA MATAJIRI FULANI WA NJE AU NDANI!!!HADI CCM ISHTUKE KUWA WAO NDIYO WAASISI WA UGAIDI,MACHAFUKO WATAKUWA WAMESHA CHELEWA SANA NA DAMAGE ITAKUWA DONE!!!!!
CHADEMA hawako tayari kumwaga damu za watanzania kwa sababu ya madaraka tu.Lissu ameongea hoja za msingi.
Namuunga mkono.