Lissu aondoke nchini

Lissu aondoke nchini

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,637
Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.

CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.

Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.

Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.

It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
 
Unadhani shida ni Lissu? Next will be Heche, Polepole, Gwajima, Bashiru n.k na wakiisha hata wewe utafikiwa tu. Tusiweke precedence mbaya maana itakua utamaduni kwamba uchaguzi ukikaribia tunakupa kesi ya uhaini alafu tunakuachia unaenda uhamishoni.
 
Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.

CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.

Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.

Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.

It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Kwani Lissu angekubali halafu akagoma kuondoka baada ya kufika nyumbani nini kingetokea?
 
Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.

CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.

Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.

Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.

It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Tupe sababu ya yeye kuondoka?
 
Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.

CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.

Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.

Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.

It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
CHADEMA haikusaini kanuni za maadili ambalo ni takwa la kisheria hivyo HAWAWEZI kushiriki.

Unless unaongelea uchaguzi wa 203p lakini kwa 2025 tulikwishafunga mjadala.
 
Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.

CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.

Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.

Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.

It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Sorry, huo utakuwa ujinga.
 
Back
Top Bottom