Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,637
Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.
CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.
Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.
Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.
It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.
Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.
Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.
It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.