Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Pamoja na Mbowe kumpa Lissu U-Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ili kumzuia asiende ACT Wazalendo lakini sasa mambo ni mazito kwani Lissu sasa anaonekana kutaka kufanya siasa na Zitto.
Mara kadhaa Tundu amesisitia kuachia madaraka kitu ambacho kinampasua kichwa Mbowe, Chadema wameteua Prof.Baregu ili ajaribu kumsihi Lissu asichukue maamuzi hayo sasa ili kukinusuru chama.
Tuwe na subira ila moto unawaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na Mbowe kumpa Lissu U-Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ili kumzuia asiende ACT Wazalendo lakini sasa mambo ni mazito kwani Lissu sasa anaonekana kutaka kufanya siasa na Zitto.
Mara kadhaa Tundu amesisitia kuachia madaraka kitu ambacho kinampasua kichwa Mbowe, Chadema wameteua Prof.Baregu ili ajaribu kumsihi Lissu asichukue maamuzi hayo sasa ili kukinusuru chama.
Tuwe na subira ila moto unawaka.
Sent using Jamii Forums mobile app