- Thread starter
- #41
Watanzania wengi kinachoturudisha nyuma kuanzia kwenye familia zetu ni maisha yaha :Na huu ndo ukweli halisi. MTU hawezi kukutenda vile ukamtumia salaam za kumpongeza. Ni mazwazwa tu yatakayoamini TL amemshukru kwa maana wanayofikiria. TL ni Intelligent sana wakati mwingine kumwelewa huwezi.
1. Kuhisi ukiwa una maisha ya Kuhisi unaweza kumuacha mkeo au mmeo maana unahisi kichwani kwako jambo bila kuwa na uhakika.
2. Mambo ya kusikia hatuna desturi ya kufanya uchunguzi wa jambo.