CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,387
- 6,481
Jamani haya mambo ni ya kisheria. Mahakama zina busara sana kama hakuna rushwa. Unamfukuza uanachama in order to defeat parliamentary immunity!!!!!!!!!!!!! wakati kosa limeoriginate kutokana na kauli yake bungeni ambayo ina immunity. Think twice,Suala hapa sio kwamba chadema inamfukuza Ubunge bali inamvua uanachama. Kwa hiyo hilo bunge litaamua kama wanaweza kumwachia aendelee kuwa mbunge hali si mwanachama wa chama chochote hiyo nikazi kwao, na hapo watakuwa wamehalalisha mgombea binafsi.
Ninyi mpo nchi gani? hata kama mko ulaya hamsomi mitandaoni habari za bongo? eeh! mnatia aibu kwanza yaelekea hamfahamu mahali anapofanyia shopping huyu Shibuda, sasa njoo hapa posta mpya barabara inayokwenda IFM oppsite na Embassy Hotel kuna duka la Imalaseco, njoo uongee naye Shibuda mwenyewe sasa hivi au toka hapo nyumbani kwenu nenda kibanda cha magazeti kaitafute hii habari uisome kwa undani we vipi bhana? unataka utafuniwe kila kitu halafu umeze tu, duuh! hapa tunapeana suna tu mkuu, mi nimekuchomolea tu hii kutoka chumba cha uhariri wa hili gazeti la harakati za mageuzi bongo, nipo hapa nachapa kazi, au nikupatie namba ya Shibuda mwenyewe, ila wabongo noma utaanza kumdisturb, just assure me utakuwa mvumilivu hata msimamo wake ukiwa tofauti na wako nikuunganishe naye sasa hivi mkuu!
Ninyi mpo nchi gani? hata kama mko ulaya hamsomi mitandaoni habari za bongo? eeh! mnatia aibu kwanza yaelekea hamfahamu mahali anapofanyia shopping huyu Shibuda, sasa njoo hapa posta mpya barabara inayokwenda IFM oppsite na Embassy Hotel kuna duka la Imalaseco, njoo uongee naye Shibuda mwenyewe sasa hivi au toka hapo nyumbani kwenu nenda kibanda cha magazeti kaitafute hii habari uisome kwa undani we vipi bhana? unataka utafuniwe kila kitu halafu umeze tu, duuh! hapa tunapeana suna tu mkuu, mi nimekuchomolea tu hii kutoka chumba cha uhariri wa hili gazeti la harakati za mageuzi bongo, nipo hapa nachapa kazi, au nikupatie namba ya Shibuda mwenyewe, ila wabongo noma utaanza kumdisturb, just assure me utakuwa mvumilivu hata msimamo wake ukiwa tofauti na wako nikuunganishe naye sasa hivi mkuu!
Kuna watu wanataka kuwapotosha CHADEMA katika shauri hilo, nina imani Shibuda anastahili adhabu na wanachopaswa CDM ni kumkusanyia ushahidi usiotia mashaka. Ibara ya 100 ya katiba haiwezi kumkinga na makosa yake iwapo mashtaka yataandaliwa vizuri.Mimi nadhani yapo mambo mengi tena mabaya zaidi aliyosema Shibuda nje ya bunge, alipofanya mahojiano na gazeti la Mtanzania na ambayo nadhani wanaweza kuyatumia.
Mkuu niko mbali na maktaba yangu, tusaidiane kuitafuta. Hata hivyo hiyo Ibara ya 100 ya Katiba haiwezi kutumiwa kama kichaka cha kujificha Shibuda provided ushahidi unakusanywa vizuri.Na KATIBA ya CHADEMA inasemaje kuhusu kumfukuza mtu uanachama?
Naomba source mkuu,..maana niseje tolewa nishai ktk vijiwe vyangu vya draftTulipojitolea kuionya CHADEMA tukaambiwa tukome lakini ukijaribu kupima nasaha zetu za wakati ule ni kama vile tulikuwa tunatoa unabii juu ya madhara ya CHADEMA kusomba makapi kutoka CCM, sasa nani asiyejua kuwa Shibuda anatumiwa na CCM? Sasa yametimia kwani kwa kinywa chake mwenyewe Shibuda amerudia kauli zake mbili zenye utata, kwanza kasema kuhama msikiti sio kuacha uislamu na pili kawaambia wana CCM wenzake kuwa kule CHADEMA yuko uhamishoni hivyo wasihofu atarudi nyumbani tu!
Miaka kadhaa iliyopita pale Nairobi, Embakassy Airport, waandishi wa habari walimzonga Mwalimu kwa habari za uongo.km ni hbr ya kutunga, basi aliyeitunga kampatia shibuda, hayo maneno yanafanana kabisa na shibuda, sishangai hata kidogo.
Miaka kadhaa iliyopita pale Nairobi, Embakassy Airport, waandishi wa habari walimzonga Mwalimu kwa habari za uongo.
Mwalimu aliwauliza" hivi ninyi mkiambiwa mama zenu ni wake zangu mtaamini"
Waandishi wakaanza kutoweka mmoja mmoja.
Zumbemkuu mix with yours.
Wapendwa jana niliweka thread hii kuhusu mustakabali wa Shibuda ndani ya Chadema kuhusu utovu wake wa nidhani kwenda kinyume na maazimio ya chama chake.
Kama mmesikia leo Marin Hassan wakati akiohojiana na aliyekuwa katibu wa Bunge, George Mlawa, ameweka wazi kuwa Shibuda anaweza kabisa kulindwa na Katiba ibara ya 100 inayomkinga Mbunge na KUCHUKULIWA HATUA YA KISHERIA/UWAJIBIKAJI KWA lolote atakalolitamka Bungeni. Amekwenda mbali na kutoa mfano wa Jidawi aliyekuwa CUF alivyokipeleka chama High court na kushinda kufukuzwa kwake.
Narudia tena Busara kubwa itumike ku-handle issue hii.
FIKIRI CHUKUA HATUA
Jamani toeni source ili tuamini, halafu ndiyo tuijadili hii thread!!
Wala usiumize kichwa Siku CHADEMA wanazindua Kampeni Dar nilimsikia Mimi kwa Masikio yangu akisema.ukitaka kwenda mjini umepanda gai likapata pacha unashuka na kusimamisha lingine bora tu mjini ufike wakati wa kurudi utajua njia ya kurudia "BASI LA CCM LIMEPATA PANCHA NIMEDANDIA BASI LA CHADEMA NAENDELEA NA SAFARI"
Je munafikiri ni sababu hizi hapa juu tu zitatosha kumfukuza uanachama na hatimaye Ubunge wake?
Kumbukeni kwa mujibu wa kinga za Bunge akiwafikisha mahakamani atawabwage na kuendelea na Ubunge kwa jimbo la Mahakama.
Punguzeni jazba muangalie nchi Yenu inakwendaje.
Je mnajua kuwa Mkoa wa Shinyanga na Mwanza kuna Njaa? jana nilikuwa ngudu hali ni mbaya sana. magonjwa yameingia mashambani hivyo vyakula vyote vimakauka. Njaa kali kweli kweli.
Je
Funga mdomo wewe! acha wenye upeo mkubwa wajadili haya mambo kwa mantiki wewe kanywe mbege kule! we vipi aisee? kama umezoea umbeya hapa si mahala pake, kwanza ulijiungaje hapa? na shaka na uwezo wako wa kujenga hoja kidogo naweza kushawishika wewe ni mtaalamu wa kutukana tu,pumbafuuuu!
Wala usiumize kichwa Siku CHADEMA wanazindua Kampeni Dar nilimsikia Mimi kwa Masikio yangu akisema.ukitaka kwenda mjini umepanda gai likapata pacha unashuka na kusimamisha lingine bora tu mjini ufike wakati wa kurudi utajua njia ya kurudia "BASI LA CCM LIMEPATA PANCHA NIMEDANDIA BASI LA CHADEMA NAENDELEA NA SAFARI"
Hapa hapa kuna waandishi watatu wamemhoji Mh Shibuda, huyu moja wa kike namfahamu bila shaka hawezi kupeleka hii taarifa kwa maana maboss wake watamshangaa sana, mimi nilimuuliza swali tofauti kidogo...."je mh Shibuda unaonaje mustakabali wako wa siasa kutoka CCM na sasa CHADEMA.?.."
Akajibu hivi..."ni sawa ila angalizo langu kwa CHADEMA wajifunze kuheshimu mtu mwenye mawazo tofauti na wao.."
Sasa katika kujibu maswali ya wenzangu ndiyo akasema hayo maneno ya kwenye thread hapo juu, ila msihofu wadau kesho nitajitahidi kwa nia yoyote niichomeke hii habari kwenye gazeti toleo la kesho.