ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,279
- 3,178
Wanajiandaa kupambana kwa kutumia umaNdoto za bunuasi. Siku Chadema wakiamua kwa dhati kupambana na Dola, nitajiunga nao ila kwa sasa hapana, acha niwe obzeva tu
Wanajiandaa kupambana kwa kutumia umaNdoto za bunuasi. Siku Chadema wakiamua kwa dhati kupambana na Dola, nitajiunga nao ila kwa sasa hapana, acha niwe obzeva tu
Yap,mengine tutajuana nayo mbelembele.... first and foremost CCM ifutwe halafu mengine yaendelee.
Una hoja ya msingi! Mfano , mfano tu........ ukisimamiwana UN, EU.... then uwezekano wa kushinda ni over 90%Uchaguz ukiwa huru possibility ipo.
Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.
Haitatokea sio leo wala kesho nakwambia jaribio jingine la kuiangusha CCM ni mwaka 2045.Na kwa ubaguzi na ushalimu wenu huo ndo maana mwaka huu historia inaenda kuandikwa kwa nyie CCM kuwa wapinzani rasmi kuanzia October 2020!
Sasa Mimi na wewe nani anaota? Huo ndo ukweli mchungu japo hamtaki kusikia!..Jidanganye endelea kuota
Yaani wanazani nchi ni Jf !!Yaani unakuja na takwimu za tweeter na Jf halafu useme Watanzania ndo hao !!
Jipangeni bado kuna shida sehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani CCM kiwaze kuwa chama cha upinzani?? Kwa sera zipi?? Kwa mikakati ipi mliyonayo ninyi wapinzani?.Mnafikili kushika dola ni kama kuokota embe dodo!Kwani waliofurahia tweeter sio watanzania???? Kuna shida kwenu sio kwa wapinzani, kwani wapinzani ndo waliwaambia muwapige risasi na kuwabambikia makesi????
Ni vizuri muda huu CCM mkautumia kuwaza mnaendaje kuwa Chama cha upinzani makini kuanzia 2020 - 2025??
Vyama vya upinzani kama wangemsimamisha mgombea mmoja kidogo ingesaidia kinyume na hapo wameula wa chuya.Nawaza kwa mfano Lissu akishinda 2020 sijui watu wengine wataweka wapi sura zao.
Hawa wasanii wetu ambao kila kukicha wana nyimbo za kumsifu na kusherekea uongozi wake sijui na wao wataweka wapi sura.
Na wananchi wenye mawazo negative kuwa CCM haiwezi toka madarakani sijui na wao watasemaje.
Labda kama Lisu aje na tume yake ila kwa tume hiihii ni ndotoAmini nakuaminia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antipas Lissu.
Na kwa kukuhakikishia, Magufuli anaenda kukanwa na wenye CCM yao mwaka huu.
Lissu akishinda Jecha atachomoza!Lissu ni kiongozi bora anajua kila mtu ana uhuru wa kuchagua upande aupendaye, hawezi kuwatenga wala kuwabughuzi
lini amewahi shinda chochote,Lissu hawezi kishinda uchaguzi!..Kura zake hazitazidi hata 10% ya wapiga kura! .Tuache kuota ndoto na kujipa matumaini hewa.Yaan hata wapinzani waungane wote hawawezi battle na JPM halipingiki Hilo, yule ni kisiki cha mpingo hawamuwezi!. Hii ni kwa sababu alioyoyafanya yanaonekana kwa macho, mpaka sasa sijaona hoja yoyoye ya maana aliotoa lissu zaidi ya kua attack mtu tu !.
Yahya jameih alimiliki tume na tume hio hio ndo ikamtangaza Barrow mshindi,kumiliki tume sio kumiliki akili za watu.Labda kama Lisu aje na tume yake ila kwa tume hiihii ni ndoto
wa kuwasaidia kuiba Mungu alimpenda zaidi so anga li shwaliLissu akishinda Jecha atachomoza!
heri ya beberu kuliko mkoloni mweusiLissu akishinda mabeberu yatakuja kwa fujo.. wa tanzania tutageuzwa mbuzi jike na ma beberu
kwani ndugu zake ccm mfano KANU nk walishindwa vipi kuendeleea,anga limeshaikataa ccm.Sasa huo umma uko wapi ambao unaweza kumkataa Magufuli leo ?
Wakati mwingine tuache ushabiki maandazi. Yaani kweli ndani kabisa ya nafsi yako unaona uwezekano wa CCM kutoka kwenye hatamu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasi tutachekwa kwa kumpa msaliti nchi!
[/QU
wajumbe awaogopi kuchekwa
isingepangwa kuwa asingeponza kwenye zile bullet 16 ni hadi kusudio la MUNGU litimieMbona waliokuwa hawataki Magufuli awe rais wapo mpaka leo, mwingine ndo huyo kaenda ACT !!
Lakini ndoto ya Lissu kuwa rais hiyo ni ndoto mbaya sana.
Hatakuwa na hawezi kuwa hata waziri mkuu kwenye hii nchi mpaka kufa kwake.
Amini nakwambia kuna watu wameumbwa kwa ajili ya kupiga kelele tu na ndo huyu bwana.
Sent using Jamii Forums mobile app