Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 584
jf ina member wengi sana na wote sio wanaochangia hoja pindi wasomapo humu wengine husoma na kutoka kimya kimya sababu sio wataalam au hawana la kuchangia juu ya mada husika.
ni bora na wewe uwe unajifunza hivyo sababu kuchangia mara kwa mara sio sifa kama unachangia utumbo kama wako ww hii habari kwako sio njema kwa kuwa wewe ni wa ccm au sio mtaalam wa sheria au hauna kabisa ufaham juu ya sheria lakini wapo ambao inawahusu hiii?
jaribu kuficha upumbavu wako japo kwa kupita kimya tuu.ila endelea kubwatuka kama unamasilahi binafsi au kunakipato unakipata kupitia utumbo na uharo uchangiao hapa .
Umemmaliza kabisa mkuu