Lissu aigomea CCM,CHADEMA wahamia Dodoma kumuunga mkono

Lissu aigomea CCM,CHADEMA wahamia Dodoma kumuunga mkono

Twende kazi lissu, magamba wakishauza sembe na tembo wanawaza kupitia ma------.

Siumalizie tu bwana kupitia makalio! unajua hawa watu wanapoteza hela nyingi za wavuja jasho kwa upumbavu huu ni ujinga kabisa waendelee na kesi wanajitoa ya nini sasa?
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.
jaribu kutafakari kabla ya kuandika mtizamo wako Kumbuka Lisu anataka alipwe gharama za kesi ambapo walitaka wazikwepe Kwa njia ya kukata rufaa kisha kesi icheleweshwe hadi uchaguzi ufike sasa wamugundua njama hizo wanataka kuondoa hayo kwa manufaa ya wale wote wanaokosa haki kwa kutojua sheria vizuri kama ulikuwa haujui sasa pata darasa la sheria za rufaa nk
 
Bado sijamuona mtu ndani ya ccm anaweza kum challenge Lissu kwa sheria,ni ujinga ccm ya kinana na Mwigulu wao kupoteza resources za taifa kudhamini kesi kwa lengo la kumpotezea muda Lissu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.

Acheni kuweweseka nyinyi wahuni wa CCM, hapo ni sheria tu hakuna kukitoa kinyemela hapo lazima hakimu atoe hukumu mahakamani, na mtaumbuka sana wapumbavu ninyi mkome....
 
Mkuu sheria zipo wazi kabisa...soma vizuri hiyo habari yote...

Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.
 
Tanzania Daima ni gazeti pendwa la udaku.
 
Baada ya Lisu kushinda kesi alitakiwa alipwe gharama za kesi kama ilivyo kawaida lakini walipobaini gharama ni kubwa walalamikaji wakabuni mbinu ya kukata rufaa ili kesi ianze tena ichukue miaka 2 hadi uchaguzi mpya ufanyike
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.

lengo lake ni kuwanyoosha watu wanaotumika kama wewe,wamlipe next time wasirudie upuuzi wa kupotezeana muda.
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.
jf ina member wengi sana na wote sio wanaochangia hoja pindi wasomapo humu wengine husoma na kutoka kimya kimya sababu sio wataalam au hawana la kuchangia juu ya mada husika.

ni bora na wewe uwe unajifunza hivyo sababu kuchangia mara kwa mara sio sifa kama unachangia utumbo kama wako ww hii habari kwako sio njema kwa kuwa wewe ni wa ccm au sio mtaalam wa sheria au hauna kabisa ufaham juu ya sheria lakini wapo ambao inawahusu hiii?

jaribu kuficha upumbavu wako japo kwa kupita kimya tuu.ila endelea kubwatuka kama unamasilahi binafsi au kunakipato unakipata kupitia utumbo na uharo uchangiao hapa .
 
Tanzania Daima ni gazeti pendwa la udaku.

tatizo la akili ndogo huyajui hata magazeti ya udaku

unachofanya hapa ni kukwepa mada, maana ni aibu nyingine baada ya ile ya Arusha

hata kama ni gazeti la udaku issue ni content maana hayo magazeti yako kama uhuru hayawezi kuandika chochote kuhusu kesi hii
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.

wewe ni wawapi alokwambia anataka amshitaki mtu nani??
Lissu hataki "withdrawal"kama wanavotaka wafanye wao bali inabidi iwe "dismiss with cost"
Lumumba bana.
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.

Hujua sheria wewe ,yeye anachotaka ni "dismiss with cost" ,na sio "withdrawal"
 
mimi ni mwanasheria na mtumishi wa mahakama,ujue hata ukiwa unaendesha kesi inayosimamiwa na lissu kama wakili mpk mwenyewe unafurahi na akitumia mda mrf kupanga hoja unahc kama katumia dakika 2 na unatamani aendelee kuzungumza na majaji wengi sn wanamkubali na kumuogopa khs mawakili pinzani ndo kabisa.
 
Back
Top Bottom