Lissu aigomea CCM,CHADEMA wahamia Dodoma kumuunga mkono

Lissu aigomea CCM,CHADEMA wahamia Dodoma kumuunga mkono

Lissu komaa nao Gambaz hao,iwe fundisho kwa viherehere wengine kufungua kesi kwa kutumwa.kimbiza....hao...
 
tatizo lako wewe ni layman wa sheria bora ukae kimya
Lissu anasema kesi itatolewa kwa garama na sio kama magamba walivoomba kuitoa kiaina
lazima walipe garama zote za kesi.
Kama wakata rufaa hawakuwa na nia tangu june kwanini hawakumtaarifu?
na mhakama nayo imeshapanga ratiba zake na majaji washalipwa posho
garama zote lazima CCM mlipe ili mtie adabu
sasa wewe piga domo utadhani kila kitu ni siasa.
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.
 
Maccm ni watu waajabu sana. Badala ya kushitaki majangili wanaomaliza tembo wetu wao wanadili na propaganda tu
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.
Hujasoma iyo post vizuri..,haifutwi hivihivi lazima mumlipe..
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.

Dawa ya anayekusumbua ni kuhakikisha kuwa unamtia adabu.
 
Wewe unaona hayo maneno "dismiss with cost" na "withdrawal" ni kama maneno wazi na yanayojitosheleza katika utofauti lakini kwa watu kama SIMIYU na wanaCCM wengi humu JF ni kitu kigumu sana kuelewa tofauti yake. Kwa sababu wengi wameipa kisogo elimu ya uelewa, wanakumbatia elimu ya kukariri.

QUOTE=genekai;7307817]Una uelewa mdogo sana katika masuala ya kesi so kuchangia kwako ni kudhihirisha umbumbu wako.

Kwa kukusaidia, anachokitaka LISSU ni "dismiss with cost" na siyo "withdrawal" mambo ambayo nadhani huyaelewi na umeshindwa kuyatofautisha.[/QUOTE]
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.
Namna waliyotaka kutoa shauri mahakamani wamekosea kisheria. Ukiwithdraw the adsverse party ni ngumu kudai gharama za kesi. Lisu anataka case iwe "Dismissed with costs" Ili alipwe gharama za kuendeshea kesi. Sidhani kama anataka kuendelea na kesi. Ni hayo tu!
 
Ccm ni chama cha wauza unga na mafisadi, kwa hiyo wana pesa nyingi, wacha wazichezee kwa kufungua kesi zisizo na kichwa wala miguu!
 
Watu wakiambiwa lisu anamatatizo wanakataa sasa anataka kushitakiana na nani kama waliomshitaki wameomba kufuta kesi pengine anashitakiana na hewa.

yani wewe kaka ndo hamna kabisa,yan huelewi anamshtaki nani?aibu aibu sana,
 
Hakika mungu hawatupi waja wake.kamwe nimeamini mwaka 2015 ni byebye ccm unakimbilia kamba ujinyonge na huku huna ubavu.kunya hapohapo Kinana kwani mahakama c meno ya tembo.CDM songa mbele.kila jtano nafunga na kuomba kwa ajili ya M4C naamini mungu anajb maombi yangu.
 
Back
Top Bottom