Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 1,944
- 3,090
Taarifa kutoka kwenye chanzo imara kabisa leo zimenifikia zikisema kuwa Tundu Lissu has rejected President Samia Suluhu Hassan’s offer ya kuundwa serikali ya mseto .
Jamaa anasema nipo kwenye mikono yenu ,mimi siyo bora kuliko wengine , nilichokisimamia ndicho ninachokiishi na ndicho nilicho na utayari nacho hata wakukifia kama wanachokifia wenzangu (huyu jamaa sijui anapataga taarifa na nani huko gerezani)
Taarifa inasema jamaa aliombwa akubali kutoka gerezani na akubali waunde serikali ya mseto (Power sharing government
Taarifa zinasema Lissu has instead demanded a fresh election, He insisting he must face President Samia directly on the ballot na kuwepo na wengine watakaopendekezwa na vyama vyao otherwise Jeshi lishikiliwe inji hadi hapo watakapoona mazingira yako sawa lakini siyo yeye kukubali kufanya kazi na hii serikali iliyokataliwa na Raia hiyo itakuwa nijutaka kumfanya yeye afanyike kuwa tauro la Damu.
Je! CCM watakubali kurudia Uchaguzi ?
Kama watakubali rudia Uchaguzi ,watakubali kufanya kwanza mabadiliko kwenye sheria za uchaguzi pamoja na reforms mbalimbali zikizokuwa zinapigiwa kelele ambazo kimsingi ndizo kiini cha yote haya?
Mwamba kakaza .
Jamaa anasema nipo kwenye mikono yenu ,mimi siyo bora kuliko wengine , nilichokisimamia ndicho ninachokiishi na ndicho nilicho na utayari nacho hata wakukifia kama wanachokifia wenzangu (huyu jamaa sijui anapataga taarifa na nani huko gerezani)
Taarifa inasema jamaa aliombwa akubali kutoka gerezani na akubali waunde serikali ya mseto (Power sharing government
Taarifa zinasema Lissu has instead demanded a fresh election, He insisting he must face President Samia directly on the ballot na kuwepo na wengine watakaopendekezwa na vyama vyao otherwise Jeshi lishikiliwe inji hadi hapo watakapoona mazingira yako sawa lakini siyo yeye kukubali kufanya kazi na hii serikali iliyokataliwa na Raia hiyo itakuwa nijutaka kumfanya yeye afanyike kuwa tauro la Damu.
Je! CCM watakubali kurudia Uchaguzi ?
Kama watakubali rudia Uchaguzi ,watakubali kufanya kwanza mabadiliko kwenye sheria za uchaguzi pamoja na reforms mbalimbali zikizokuwa zinapigiwa kelele ambazo kimsingi ndizo kiini cha yote haya?
Mwamba kakaza .