Watanzania wengi wameumizwa ndani ya nchi yao kuliko Makaburu walivyowaumiza watu wa Afrika Kusini ya kipindi kile cha Apatheid Rule.Inasikitisha sana kwa watawala wetu kuamua kuteka,kutesa,kuua,kubambikia kesi na kuwafilisi raia wenzao ndani ya nchi huru.Mambo haya yanatakiwa kukomeshwa mara moja.Haya ndiyo tunayoyataka Watanzania siyo kunyanyaswa, kudhalilishwa, kubambikiwa kesi etc utadhani tuko Afrika Kusini ya MAKABURU.
Watanzania Twendeni na Mh.Lissu uchaguzi huu ili tuitengeneze upya mifumo yetu ya Utawala kwa kuandika Katiba mpya mara baada ya Uchaguzi Mkuu 2020 kuanzia pale ilipokomea Tume ya Mbadiliko ya Katiba ya Jaji Warioba.Hilo tu ndiyo dawa ya kutibia vidonda vyote vilivyosababishwa na tawala zilizotangulia.Wakati ni Sasa!