Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 997
Mbona tulipo leta hiyomikataba mibovu, huko bungenii kwa ajiri ya marekebisho lisu alitusaliti na kutetea mabeberu tena aka akasema kwa sautii kuu akiwtisha watanzania eti tukigusa mikataba ya madinii tutanyolewa nywelee bila majiii. Kama aliandika vitabu vinguu juu ya unyonyaji wa madini, alishindwa nini kuuungana na wazalendo ilikujadili kipi kifanyike juuu ya kupigania mali zetuu??Hapana. Na Lissu ndiye mwenye rekodi dhidi ya ubeberu wa kunyonya wanyonge kupitia kupitia migodi. Rejea harakati zake na maandiko yake toka miaka ya 90. Sisi akina fulani tunataja ubeberu kama fasheni tu.