Kama mzazi mwenye watoto wa kiume inaumiza mno...! Sijui mtoto kama huyo alianza lini? Nani alimfundisha? Je wazazi wanajua? Inauma
hivi hawa hawakuchukua fomu ya kugombea hata udiwan eh
hivi nikuulize swali la kizushi,nini kinapelekea mtoto wakiume akajipodao na kutaka kufanana na dada zake,hivi wana sukumwa na nini hawa wenzetu
Kama mzazi mwenye watoto wa kiume inaumiza mno...! Sijui mtoto kama huyo alianza lini? Nani alimfundisha? Je wazazi wanajua? Inauma
itakuwa kwenye kile chama cha kaka yao yule anayewaitaka wakale bata kwa jasho la walalahoi wa tanzania
Mh hii ni shida.
Basata Mupo.......?
lakn wakuu mbona wadadA wapO weng tU tenA ni warembO kwaninI umshikishe ukutA mwanaumE mwenzakO.kamA yeyE ni bwabwa tuwaache wakae na ushogA wao mwisho wa sku wataacha.wenyewe ,kuendekeza udhaifu wa ngono ni kujipa aibu sisi wenyew as men.sisi wanaume ndo chanzo hawa wenzetu kuwa na tabia hyo cha msngi ni kuwapotezea tu.