ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
mkuu education should help the society otherwise unfunction. Lipumba amezidiwa na dj kwa kuendeleza ubaguzi wa kidini badala ya kuwaunganisha watanzania! Elimu haijaisaidia sana jamii at large!PROF LIPUMBA VS DISCO JOKER? kweli nyie watu mna akili kweli? mnalinganisha LIPUMBA na DJ? mtu anajitangaza kwa sifa zake, MBOWE ni sawa mavi kupamba maua! hayatapendeza yataendelea kunuka tu.