buyegiboseba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 535
- 145
Kasema ukweli,ubunge sio sazi yake kwa sasa labda udiwani anaweza kuwa namba mbili hivi!
Achilia mbali ubunge. Ujumbe wa nyumba kumi hafai
asahau kwani hawezi kuupata, kagombea mara 3 , zote kakosa na still anauwaza, just lime most of the comments above suggests , ata ujumbe hawampi, kama anapenda kuinua uchumi aombe kazi BENKI kuu , kazi ya kiutendaji , sio SIASAasahau? Kivipi?
Asiponde kwa kuseam jimbo ni sehemu ndogo sana... Anatakiwa akagombee ubunge na kushinda.. Maana haiingii akilini tangu 1995 yeye anagombea tu na kushindwa..
akiongea katika kipindi cha baragumu cha chanel ten leo asubuhi akijibu swali, amesema hafikirii kugombea ubunge ambao si size yake, kwa kuwa lengo lake ni kusimamia uchumi wa kitaifa si wa jimbo, jimbo ni sehemu ndogo kwanu, alisema mchumi huyo.
Kwa jinsi asivyokubalika hata akigombea udiwani kwao hapati.