Kabla hujafikia deal la Rada ni lazima IMF imekupendekeza huko nje.... Hakluna shirika la nje linaloweza kuingia mkataba na Tanzania bila kupata baraka za IMF...
IMF wakikutema huwezi kupata kitu, hizo benki na mashirika utafanya kuyasikia tu..
Wataku lebel a high risk country!
Kwa hiyo ni muhimu mfahamu kwa nini huyo kiongozi wa IMF amempigia debe Kikwete kuwa Nyapala baabu kubwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.