Mjamaa masalia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 373
- 354
Nafikiri hawa kundi la HAPANA watahitaji BACKUP ,kama hiyo habari si kweli basi iwe kweli kwani massage itawafika huko Tundulu ni kuzidi kuonyesha mshikamano ila tunduru mbali sana.
Kwa hiyo hawakai watanzania au? Acha ubaguzi