Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
Kuna habari zisikuwa hakiki kuwa Mheshimiwa Ibrahimu Lipumba na Mheshimiwa Slaa wakifuatana na njemba zingine za uKAWA kutinga katika viunga vya majengo ya Bunge huko Dodoma kesho mida za asubuhi ,haijulikani haswa wanafuata kitu gani lakini wajuzi wa duru za kisiasa wanasema huenda wanakwenda kuwapa nguvu na misimamo wale wote waliopiga kura ya HAPANA au watatumia uwepo wao kuwapa ulinzi na kuondoka nao ,hizi habari bado sijaziamini kwani mtoa habari ni jamaa wa ccm anaeishi Dar resalama ,kuna mtu kasikia zengwe hili la Ukawa !