Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,285
Profesa wa Uchumi Ibrahimu Haruna Lipumba amesema hali ya uchumi ilipokuwa mbaya na Mkapa akiwa rais, mkapa aliingiza sheria mpya ya madini ambayo iliyapa mianya makampuni ya nje kuchukua karibia kila kitu na nchi ikawa haipati chcochote.
Anasema tuliingia mkataba na benki ya dunia ya kuweka guarantee katika uwekezaji amabayo ilikuwa inatubana mashirika ya kimataifa kuchukua kila kitu.
Na mashirika ya kimataifa yatakuja kutubana juu ya hili na ianapaswa sasa kuwa na uzalendo kukabiliana na jambo hili.
Anasema tuliingia mkataba na benki ya dunia ya kuweka guarantee katika uwekezaji amabayo ilikuwa inatubana mashirika ya kimataifa kuchukua kila kitu.
Na mashirika ya kimataifa yatakuja kutubana juu ya hili na ianapaswa sasa kuwa na uzalendo kukabiliana na jambo hili.