Wanachofanya kinastahili pongezi kwa kuwa kinatupunguzia utitili wa vyama vya briefcase, Hii ina maana tutabaki na vyama viwili tu yaani CCM na CHADEMA just like Democrat and Republican. Kwa maneno mengine ni kwamba CUF, NCCR, TLP, UDP vimejifia vyenyewe rasmi.
Sasa nimeanza kukubali maneno ya John Tendwa aliwahi kutamka huko nyuma kwamba hata vyama vya upinzani wakati mwingine huwa vinaoneana wivu !