Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Gazeti la Jambo Leo.....linatuhabarisha ya kuwa Profesa Lipumba ambaye vilevile ni Mwenyekiti wa CUF bado atafakari kama atashiriki mbio za uraisi 2015....................
Nilifikiri baada ya kuona idadi ya kura zake zaendelea kushuka uchaguzi baada ya uchaguzi ulikuwa huu ni wakati mwafaka kuwajulisha wana-CUF wenzie ya kuwa sasa yatosha na wanachama wengine wanaojiona wana sifa wajitokeze na huku yeye akijikita zaidi kuimarisha uongozi wa chama chake lakini..............this is Africa.............tusishangae tukimwona Profesa akijitokeza tena 2015...........................mpaka kieleweke................ingawaje kwa maoni yangu binafsi kwa Lipuimba tayari kilikwisha kueleweka bayana.........................HACHAGULIKI NA HAKUBALIKI.........................mwisho wa mjadala........................
Nilifikiri baada ya kuona idadi ya kura zake zaendelea kushuka uchaguzi baada ya uchaguzi ulikuwa huu ni wakati mwafaka kuwajulisha wana-CUF wenzie ya kuwa sasa yatosha na wanachama wengine wanaojiona wana sifa wajitokeze na huku yeye akijikita zaidi kuimarisha uongozi wa chama chake lakini..............this is Africa.............tusishangae tukimwona Profesa akijitokeza tena 2015...........................mpaka kieleweke................ingawaje kwa maoni yangu binafsi kwa Lipuimba tayari kilikwisha kueleweka bayana.........................HACHAGULIKI NA HAKUBALIKI.........................mwisho wa mjadala........................