ndio maana nikasema he is two faced,..walipokuwa wanazunguka na mbatia na hamad kulaani maandamano ya CDM,alikuwa anatetea maslahi ya taifa au ya ccm??narudia kusema ni mchumia tumbo..shahada zisikutishe..maprofesa wengi wapo kwenye siasa na mafisadi..
<br />Juma Haji Kombo aliongea kama mwakilishi wa wabunge wenzake wa Cuf waliopo bungeni. Wakati anatoa taarifa alikua anashangiliwa na wabunge wenzake wa Cuf. Nadhani Lipumba ndiye hajui kinachoendelea ktk chama chake. Angemwuliza kwanza boss wake Seif Sharrif Hamad! Huyo na wapemba wenzake ndiyo wenye Cuf.
<br />Juma Haji Kombo aliongea kama mwakilishi wa wabunge wenzake wa Cuf waliopo bungeni. Wakati anatoa taarifa alikua anashangiliwa na wabunge wenzake wa Cuf. Nadhani Lipumba ndiye hajui kinachoendelea ktk chama chake. Angemwuliza kwanza boss wake Seif Sharrif Hamad! Huyo na wapemba wenzake ndiyo wenye Cuf.
Mwenyekiti wa CUF taifa Prof Lipumba amemkana mbunge wake Juma Haji Kombo kuwa kauli aliyoitoa bungeni aliposimama kutoa taarifa kwa Spika kuwa wao wabunge wa CUF wamejitoa katika kambi rasmi Bungeni kwa kuwa hawawezi kuongozwa na mnadhimu asiyekuwa na nidhamu bungeni kuwa ni yake binafsi na si kauli ya chama.
Hii inanikumbusha uongozi wa juu chadema kujidai wanawatosa madiwani wao. Yote uongo mtupu.
hapo umeongea kishibudashibuda,..nahau zisizoelewekaeleweka,..halafu imekaa kama taarabu hivi...ha ha ha asiyejuwa maaana haambiwi maana akiambiwa maana atasema una.......! ndiyo mlivyo nyinyi mnovamia mambo yasiyowahusu!
<br />ndio maana nikasema he is two faced,..walipokuwa wanazunguka na mbatia na hamad kulaani maandamano ya CDM,alikuwa anatetea maslahi ya taifa au ya ccm??narudia kusema ni mchumia tumbo..shahada zisikutishe..maprofesa wengi wapo kwenye siasa na mafisadi..
<br />being two faced ndivyo walivyo watu wengi wa namna yake. Mcheki Malaria Sugu/Mhadhiri, wacheki wabunge wa Cuf, Mcheki Jah-Kaya, Mcheki Bilal na wengine mitaani na wale wanaoshinda na kulala kwenye nyumba zao za ibada, wamekaa kinafiki nafiki tu
<br />udini uko wapi mkuu nimetaja dini gani hapa?
Mkuu wangu una ndoto mbaya sana...Usichokijua ni sawa na usiku wa kiza. Wanachama wa CUF ndio wanaichukia CCM tena Bara lakini msichokijua ni kwamba CCM sio bara ila ni baraza la mapinduzi ambao ni ndugu na jamaa zenu. Ni katika mtazamo huu ndio maana mmefikia Muafaka baina ya CCM na CUF wakijua ni ushirikiano wa Wazanzibar.Hii kauli ya Mh Juma Haji Kombo kwamba CUF imejitoa katika kambi rasmi bungeni ni kielelezo tosha kuwa CUF -Tanzania Bara ni purely for PR, na kuna kipindi naona ni bora Prof Lipumba angejiita Public Relations Officer wa CUF. Kwa uelewa wangu maamuzi magumu ndani ya CUF yanafanywa na Maalim Seif, Ismail Jussa na Muzamil. Nafasi ya Prof. Lipumba imekuwa compromised sana na sijui huyu Prof anapata wapi ujasiri wa kusimama na kujiita Mlima Kilimanjaro!
Hata hivyo, Mh. Juma Haji Kombo anaweza kutuambia kwa CUF kujitoa kwenye ya upinzani wanakuwa wanani hasa? CCM hates CUF but they see them as 'usuful', at the same time CUF hates CCM na vinyongo vyao ni tangia 1964! Hata hii serikali ya umoja wa kitaifa naweza kusema CUF wanawavutia pumzi CCM na matokeo ya hii pumzi tutayaona 2014 baada ya serikali ya umoja kurekebisha kero za muungano likiwemo swala la mafuta.
<br /><font size="3">Tatizo la hawa wabunge wa CUF toka Zenji ni kwamba kwao Seif ni kila kitu. Lipumba hapati heshima anayostahili kama kiongozi mkuu wa chama, hivyo hata tamko lake wanaweza wasilipatie uzito linaostahili.</font><br />
lipumba is two faced,usimwamini huyo,leo anact kama mpinzani kesho ccm..hiyo yote mkono uende kinywani..mchumia tumbo.
kweli Lipumba ni kigeugeu haaminiki. Isitoshe uproffesor sio kwamba ndo anaweza uongozi hapana. Uongozi na elimu ni vitu viwili tofauti sana, uongozi ni busara yenye utendaji na utekelezaji pamoja na uwajibikaji lakini elimu ni mwanga tu wala sio utendaji.lipumba is two faced,usimwamini huyo,leo anact kama mpinzani kesho ccm..hiyo yote mkono uende kinywani..mchumia tumbo.
Ganja bana! Sasa na wewe unakurupuka unaongea udini, udini nimeutaja wapi? Au wewe dini yako mnalala kwenye nyumba za ibada na mnakuwa wanafiki?<br /><br />
<br /<br />
Acha kudharau wengine kwa vigezo vya dini wewe. Eti watu wa namna yake! Si ungeandika tu wa dini yake? Kama mtu ana mapungufu yaseme mapungufu yake yeye kama yeye na si watu wote wa dini yake.