Lipumba amkana mbunge wa CUF

Hii inanikumbusha uongozi wa juu chadema kujidai wanawatosa madiwani wao. Yote uongo mtupu.
 
ndio maana nikasema he is two faced,..walipokuwa wanazunguka na mbatia na hamad kulaani maandamano ya CDM,alikuwa anatetea maslahi ya taifa au ya ccm??narudia kusema ni mchumia tumbo..shahada zisikutishe..maprofesa wengi wapo kwenye siasa na mafisadi..

Nimekuelewa kumbe kama wewe ni mpinzani, ukiipinga CDM unakuwa mchumia Tumbo nilikuwa sijui hilo. I am not a fun of Lipumba na sikufurahishwa na tabia ya kuuponda upinzani wakati na wewe ukiwa mpinzani, unapoanya hivyo inakuwa ni sawa na vita ya panzi, japo najua atakuwa aliingia mkenge wa muungano wa CUF na CCM kule visiwani na kujikuta bila kujua anaidhoofisha CUF bara. Ila ninavyojua mimi Lipumba hafanyi siasa ili kuishi kama wengi wanavyochukulia siasa nchini.

Ingekuwa hivyo angekimbilia ubunge kama maprofessor wenzake wanavyofanya. Huyu jamaa by the time anaingia kwenye siasa alikuwa na kazi inayomuingizia more than $10,000 pm mwaka 1995 kabla ya kuombwa na CUF kuwawakilisha katika kiti cha urais, ndiyo maana sitaki kuamini kuwa ni mchumia tumbo ila anaweza kuwa anafanya kazi ya ukibaraka wa CCM bila kujijua ili kutimiza malengo ya kisiasa Zanzibar.
 
Juma Haji Kombo aliongea kama mwakilishi wa wabunge wenzake wa Cuf waliopo bungeni. Wakati anatoa taarifa alikua anashangiliwa na wabunge wenzake wa Cuf. Nadhani Lipumba ndiye hajui kinachoendelea ktk chama chake. Angemwuliza kwanza boss wake Seif Sharrif Hamad! Huyo na wapemba wenzake ndiyo wenye Cuf.
<br />
<br />
ina maana na chadema ni chama cha wachaga mh. akina zitto na arfi hawaelewi chochote wapo kama misukule, hujui mbowe ni mkwe wake edwin mtei ndio maana mtei amemkabidhi chama.
 
Juma Haji Kombo aliongea kama mwakilishi wa wabunge wenzake wa Cuf waliopo bungeni. Wakati anatoa taarifa alikua anashangiliwa na wabunge wenzake wa Cuf. Nadhani Lipumba ndiye hajui kinachoendelea ktk chama chake. Angemwuliza kwanza boss wake Seif Sharrif Hamad! Huyo na wapemba wenzake ndiyo wenye Cuf.
<br />
<br />
cuf ni chama cha wanainchi ni muungano kati ya vyama viwili ccw(chama cha wanainchi) na kamati ya mabadiliko huru(kamahuru) kwa cuf ni chama cha kitaifa ndi maana kinakubalika kila upande wa nchi.
 
Mwenyekiti wa CUF taifa Prof Lipumba amemkana mbunge wake Juma Haji Kombo kuwa kauli aliyoitoa bungeni aliposimama kutoa taarifa kwa Spika kuwa wao wabunge wa CUF wamejitoa katika kambi rasmi Bungeni kwa kuwa hawawezi kuongozwa na mnadhimu asiyekuwa na nidhamu bungeni kuwa ni yake binafsi na si kauli ya chama.

Hii kauli ya Mh Juma Haji Kombo kwamba CUF imejitoa katika kambi rasmi bungeni ni kielelezo tosha kuwa CUF -Tanzania Bara ni purely for PR, na kuna kipindi naona ni bora Prof Lipumba angejiita Public Relations Officer wa CUF. Kwa uelewa wangu maamuzi magumu ndani ya CUF yanafanywa na Maalim Seif, Ismail Jussa na Muzamil. Nafasi ya Prof. Lipumba imekuwa compromised sana na sijui huyu Prof anapata wapi ujasiri wa kusimama na kujiita Mlima Kilimanjaro!

Hata hivyo, Mh. Juma Haji Kombo anaweza kutuambia kwa CUF kujitoa kwenye ya upinzani wanakuwa wanani hasa? CCM hates CUF but they see them as 'usuful', at the same time CUF hates CCM na vinyongo vyao ni tangia 1964! Hata hii serikali ya umoja wa kitaifa naweza kusema CUF wanawavutia pumzi CCM na matokeo ya hii pumzi tutayaona 2014 baada ya serikali ya umoja kurekebisha kero za muungano likiwemo swala la mafuta.
 
Tatizo la hawa wabunge wa CUF toka Zenji ni kwamba kwao Seif ni kila kitu. Lipumba hapati heshima anayostahili kama kiongozi mkuu wa chama, hivyo hata tamko lake wanaweza wasilipatie uzito linaostahili.
 
ha ha ha asiyejuwa maaana haambiwi maana akiambiwa maana atasema una.......! ndiyo mlivyo nyinyi mnovamia mambo yasiyowahusu!
 
ha ha ha asiyejuwa maaana haambiwi maana akiambiwa maana atasema una.......! ndiyo mlivyo nyinyi mnovamia mambo yasiyowahusu!
hapo umeongea kishibudashibuda,..nahau zisizoelewekaeleweka,..halafu imekaa kama taarabu hivi...
 
ndio maana nikasema he is two faced,..walipokuwa wanazunguka na mbatia na hamad kulaani maandamano ya CDM,alikuwa anatetea maslahi ya taifa au ya ccm??narudia kusema ni mchumia tumbo..shahada zisikutishe..maprofesa wengi wapo kwenye siasa na mafisadi..
<br />
<br />
nadhani wewe humjui lipumba bali unasukumwa na udini kumchukia lipumba. Lipumba anauwezo wa kufundisha vyuo vikuu first class duniani mf. univ stanford, research ngapi amefanya denmark, norway, sweden na un na nchi nyingi za ulaya ni juzi tu ameitwa na Alasane watara kumpa kazi ya kurejesha uchumi cote de vore halafu unasema ana njaa acha ujinga wako.
 
being two faced ndivyo walivyo watu wengi wa namna yake. Mcheki Malaria Sugu/Mhadhiri, wacheki wabunge wa Cuf, Mcheki Jah-Kaya, Mcheki Bilal na wengine mitaani na wale wanaoshinda na kulala kwenye nyumba zao za ibada, wamekaa kinafiki nafiki tu
<br />
<br /
Acha kudharau wengine kwa vigezo vya dini wewe. Eti watu wa namna yake! Si ungeandika tu wa dini yake? Kama mtu ana mapungufu yaseme mapungufu yake yeye kama yeye na si watu wote wa dini yake.
 
Hii kauli ya Mh Juma Haji Kombo kwamba CUF imejitoa katika kambi rasmi bungeni ni kielelezo tosha kuwa CUF -Tanzania Bara ni purely for PR, na kuna kipindi naona ni bora Prof Lipumba angejiita Public Relations Officer wa CUF. Kwa uelewa wangu maamuzi magumu ndani ya CUF yanafanywa na Maalim Seif, Ismail Jussa na Muzamil. Nafasi ya Prof. Lipumba imekuwa compromised sana na sijui huyu Prof anapata wapi ujasiri wa kusimama na kujiita Mlima Kilimanjaro!

Hata hivyo, Mh. Juma Haji Kombo anaweza kutuambia kwa CUF kujitoa kwenye ya upinzani wanakuwa wanani hasa? CCM hates CUF but they see them as 'usuful', at the same time CUF hates CCM na vinyongo vyao ni tangia 1964! Hata hii serikali ya umoja wa kitaifa naweza kusema CUF wanawavutia pumzi CCM na matokeo ya hii pumzi tutayaona 2014 baada ya serikali ya umoja kurekebisha kero za muungano likiwemo swala la mafuta.
Mkuu wangu una ndoto mbaya sana...Usichokijua ni sawa na usiku wa kiza. Wanachama wa CUF ndio wanaichukia CCM tena Bara lakini msichokijua ni kwamba CCM sio bara ila ni baraza la mapinduzi ambao ni ndugu na jamaa zenu. Ni katika mtazamo huu ndio maana mmefikia Muafaka baina ya CCM na CUF wakijua ni ushirikiano wa Wazanzibar.
Lakini amini maneno yangu, viongozi wote hawa wanachokitaka ni madaraka ktk serikali ya Muungano. Nchi yetu ina watu Mil 40 na nafasi za uongozi ni chache sana kwa hivyo nguvu zote hizi ni ktk kuchumia tumbo. Hakuna kiongozi yeyote anayejali maskahi ya Wazanzibar wala Wabara ila mazingira yaliyopo ni kujitajirisha kwa kwenda mbele..


Prof, Lipumba kazungumza ukweliwa chama chake na msimamo wa chama chake kwani alichosema Juma haji Kombo ilikuwa ujinga wa hali ya juu sana. Yeye kama kiongozi wa juu lazima akisafishe chama kuhusika na ujinga ule hata kama siii mwenye uwezo wa kutoa maamuzi. Muhimu ni uamuzi wa kichama kuhusiana na swala hilo..
 
<font size="3">Tatizo la hawa wabunge wa CUF toka Zenji ni kwamba kwao Seif ni kila kitu. Lipumba hapati heshima anayostahili kama kiongozi mkuu wa chama, hivyo hata tamko lake wanaweza wasilipatie uzito linaostahili.</font><br />
<br />
<br />
Hapa kuna ukweli,hawa jamaa kazi sana!Mi sijui wanataka nini?
 
lipumba is two faced,usimwamini huyo,leo anact kama mpinzani kesho ccm..hiyo yote mkono uende kinywani..mchumia tumbo.


lakini kila mtu anaukumiwa kwa makosa na kupongezwa kwa mazuri.
sio kila mara tunalia tu na kusubilia DR SLAA afanye kila kitu kwa ili kaweka mambo sawa hakuna lawama
kama kuna atakayo kosea basi ahukumiwe kwayo

chuki sio kitu kizuri
 
lipumba is two faced,usimwamini huyo,leo anact kama mpinzani kesho ccm..hiyo yote mkono uende kinywani..mchumia tumbo.
kweli Lipumba ni kigeugeu haaminiki. Isitoshe uproffesor sio kwamba ndo anaweza uongozi hapana. Uongozi na elimu ni vitu viwili tofauti sana, uongozi ni busara yenye utendaji na utekelezaji pamoja na uwajibikaji lakini elimu ni mwanga tu wala sio utendaji.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /<br />
Acha kudharau wengine kwa vigezo vya dini wewe. Eti watu wa namna yake! Si ungeandika tu wa dini yake? Kama mtu ana mapungufu yaseme mapungufu yake yeye kama yeye na si watu wote wa dini yake.
Ganja bana! Sasa na wewe unakurupuka unaongea udini, udini nimeutaja wapi? Au wewe dini yako mnalala kwenye nyumba za ibada na mnakuwa wanafiki?
 
Back
Top Bottom