Mwenyekiti wa CUF taifa Prof Lipumba amemkana mbunge wake Juma Haji Kombo kuwa kauli aliyoitoa bungeni aliposimama kutoa taarifa kwa Spika kuwa wao wabunge wa CUF wamejitoa katika kambi rasmi Bungeni kwa kuwa hawawezi kuongozwa na mnadhimu asiyekuwa na nidhamu bungeni kuwa ni yake binafsi na si kauli ya chama.
Chanzo cha habari gazeti la jambo leo 31/7/2011
Chanzo cha habari gazeti la jambo leo 31/7/2011