Lipumba alifuata nini uwanjani?

Lipumba alifuata nini uwanjani?

Kwanza mwenye namba yake anipatie hawezekani mchumi kama huyu awe chakavyu kiasi hiki😁😁😁😁
Mkuu
Unajua Nawe Utaishangaza Tanzania Yote
Unaambiwa Haruhusiwi Kula Vitu Vitamu, Wewe Mwenyewe Bado Unataka Number
Huyo Ni Professor Wa Majukwaani Kwenye Siasa
Vitamu Marufuku 😁😀😂😃😄😅
 
Nimepata picha maana aliyekuwa anafunga na kufungua geti nae mmmmhhh! Ni chiboko ntuu nzitooo bhaaaaa bwana weweeeee vifungu vya sheria nivugumu kuvielewa ngoja niende prepal nikanyonye materials narudi
 
Mkuu
Unajua Nawe Utaishangaza Tanzania Yote
Unaambiwa Haruhusiwi Kula Vitu Vitamu, Wewe Mwenyewe Bado Unataka Number
Huyo Ni Professor Wa Majukwaani Kwenye Siasa
Vitamu Marufuku 😁😀😂😃😄😅
Nataka mzee nimuweke sawa uchaguzi unakaribia asije kuwa kama Lowassa kuongea dakika anapumzika.
 
Nataka mzee nimuweke sawa uchaguzi unakaribia asije kuwa kama Lowassa kuongea dakika anapumzika.
Haa 😁😀😂😃😄😅
Jaribu Ingawa Doctor Kamkataza Vitu Vizuri Na Vitamu
Sasa Unadhani Nini Utakachofanya Wakati Yeye Atakutazama 🙄😶😑
 
Mkuu
Unajua Nawe Utaishangaza Tanzania Yote
Unaambiwa Haruhusiwi Kula Vitu Vitamu, Wewe Mwenyewe Bado Unataka Number
Huyo Ni Professor Wa Majukwaani Kwenye Siasa
Vitamu Marufuku 😁😀😂😃😄😅
Acha upuuzi wako! Ana mke na watoto. Mke wake anafanya kazi UNICEF na ni mchagga wa marangu! Ila familia yake haiweki public
 
View attachment 1246630

Huyu mtu aliyoyafanya nchi hii hamkutakiwa kumruhusu kutia pua uwanjani .
Huyu mzee ni nuksi, kuna sherehe fulani ilikuwa inafanyika msikiti wa ijuma, Kariakoo, jamaa alipokuja shughuli ilivurugika, sijui ana nuksi gani, na PIA HANA MKE KAMA ALIVYO AYOUB RYOBA WA TBC, wao kazi zao ni kula vitoto vya internship.
 
Huyu mzee ni nuksi, kuna sherehe fulani ilikuwa inafanyika msikiti wa ijuma, Kariakoo, jamaa alipokuja shughuli ilivurugika, sijui ana nuksi gani, na PIA HANA MKE KAMA ALIVYO AYOUB RYOBA WA TBC, wao kazi zao ni kula vitoto vya internship.
😆😆😆 yaani nimecheka almanusura nipaliwe na mchemsho wa kuku !
 
Back
Top Bottom