Lipumba alifuata nini uwanjani?

Lipumba alifuata nini uwanjani?

Kila mtu ana haki ya kufanya lolote ilimreadi havunyi sheria.
Sasa wewe kati ya wato wote hapo, yeye tu ndo umemwona kuwa hakustahili kuwepo uwanjani?
Mtu anayefahamika kwamba kishatandikwa laana na Mungu wanawezaje kumwacha aingie uwanjani na mikosi yake , kilichotokea si mmekiona !
 
Wadanganye wajinga , mwanamke wa kukubali kuwa na mtu kama Lipumba hayupo , labda Sakaya
His wife enzi zake usingekuwa na ubavu wa kumwangalia usoni. She was the most beautiful wa hall 3 enzi hizo miaka ya 80. Sitajibu upuuzi wako tena
 
His wife enzi zake usingekuwa na ubavu wa kumwangalia usoni. She was the most beautiful wa hall 3 enzi hizo miaka ya 80. Sitajibu upuuzi wako tena
😆😆😆 Karibu tena mkuu
 
menina wamepigwa viwili jana
YANGA Ndio Menina?
Tafadhali, hilo jina ni la Udhalilishaji sana, vyura sawa maana pale jangwani ni DIMBWI.
Menina mpaka leo hajatoa zile picha zake za ngono kwenye instagram, na pia zipo youtube, ni aibu sana kwakweli , ila MWIJAKU kidume, though ashitakiwe maana "sheria zetu haziruhusu matumizi ya njia ya uchafu mkubwa"
 
Poleni sana Yanga. Mchawi wenu ndiyo huyo aliyesababisha mfungwe
Mpaka siku watapoacha kujihusisha na mambo ya CCM.
WACHAWI WA CCM wameishiwa nguvu, ukiangalia ile clip ya kule kusini, wachawi wa yule DC walileta upepo kidogo tu mzee baba alika chini, akakatishsa ziara
 
YANGA Ndio Menina?
Tafadhali, hilo jina ni la Udhalilishaji sana, vyura sawa maana pale jangwani ni DIMBWI.
Menina mpaka leo hajatoa zile picha zake za ngono kwenye instagram, na pia zipo youtube, ni aibu sana kwakweli , ila MWIJAKU kidume, though ashitakiwe maana "sheria zetu haziruhusu matumizi ya njia ya uchafu mkubwa"
🐸🐸
 
Hahahahaha kweli kaishiwa lipumba.mwisho mbaya sana huu
 
Back
Top Bottom