RIP Hamad, well jamaa alikuwa mtu wa watu saana kwa wale waliofanya kazi Kibo Papers, iliyokuwa Pugu Road akiwa manager, watamkumbuka kwa utu wake.
Well, amemfata rafiki yake ambaye alimtangulia Masanja, sasa kundi lao amebaki peke yake Prof Habibu Mayunga Nkunya. Pole saana Prof Lipumba.
R.I.P Hamad