Lipumba afafanua maana ya kuwaita CCM ''Intarahamwe"

Lipumba afafanua maana ya kuwaita CCM ''Intarahamwe"

Prof. Lipumba ndye MSOMI wa kwel kwan usimamia kwel hyo. Achana na Shivj, Mwakyembe na wengineo wasomi uchara wasakatonge mapumbafu hayo manafiki yanayokimbia kivili chao kwa kpndsha ukwel na kuugeuza kuwa uongo.
Hivi ni kweli lipumba anaongoza chama cha watetea ushoga?
 
nchi ina mauaji ya kimya kimya hii tusidanganyane hapa wanafiki wakubwa nyie hata maana ya aman na utulivu hamuijui .
Ndio mana chagadema imeamua kuuwa wazi wazi kama ilivyouwa moro,iringa, arusha na singida
 
Akiongea na Wazanzibari walio wengi katika viwanja vya Pemba jana May day Lipumba alisema"

"Sisi tumewaita CCM intarahamwe kutokana na lugha zao za kibaguzi dhidi ya makundi mbali mbali ambyo ndio iliyokuwa inatumiwa na jamaa hawa wa Intarahamwe ambayo baadae ikasababisha mauwaji makubwa.

"Ndugu zanguni maana ya Intarahamwe ni wanyaruwanda au warundi ambao wakifanya kazi pamoja ndio tafsiri yake. Sasa pana pana kundi la CCM limeamua kufanya kazi pamoja ili kuzuwia mawazo na maoni ya wananchi na kuanza kuleta lugha za kibaguzi kwa wananchi na katika jamii za kitanzania"

Akaendelea kusema "CCM walipokuwa wanachangia bungeni walikuwa wanatoa lugha za matusi na kibaguzi na wengine walikuwa wanafurahi kupiga makofi na kugonga meza bungeni kushadidia ubaguzi huo na matusi hayo. Ambapo alisema lazima atokee mtu awaeleze lugha za matusi na kibaguzi hazikubaliki.

"Hatutaki yaje yatokee mauaji na vurugu zilizosababishwa na Intarahamwe wa Rwanda. Hatuhitaji na Intarahamwe ya CCM kuja kusababisha vurugu na mauwaji hapa Tanzania."

Kwenu wadau,;

Now Im understanding. Kumbe Lipumba naye ameshakula hela ya Kagame.
 
Hivi ni kweli lipumba anaongoza chama cha watetea ushoga?

Wewe Kichwamaji acha unafiki kama mabwana zako. Hao ccm wanapokea misaada na mikopo kutoka kwa hao hao Maliberal na wengine ni wanunuzi wa MASHOGA wengine upakuliwa. Muulize baba riz atakjza.
 
Hakuna cha ajabu kwa Lipumbafu askafurulah.... ni mekosea ni Lipumba, Kuwaita wenzake Interahamwe na kuleta tafasri ya kibabaishaji! Lipumba ni mbaguzi, Gaidi na mnafiki. Mbona alipoitwa Shoga na mliberali hakutoka bungeni? mbona hakwenda Zanzibar kuitisha mkutano wa hadhara na kutoa tafasri? .Achana na Prof. kilaza.

Tofautisha kati ya kushambulia kwako binafsi na kushambuliwa kwa Watanganyika na Wazanzibar waliyo wengi wenye kuhitaji ukombozi dhidi ya wanyonyaji ccm a.k.a Interahamwe.
 


Kitendeo alichokifanya Prof Lipuma akilingani na heshima anayopewa na jamii achilia mbali kuwa wasomi wanamtegemea sana katika fani ya Uchumi na masuala mengine kwani ni mingoni mwa watu makini ambao maandiko na matamshi yake vyaweza tumiwa na wasomi kwenye tafiti za kitaaluma. Kama ni kweli ni yeye ametoa ufafanuzi kwa kile alichomaanisha kuwaita wajumbe wenzake ma Intarahamwe na kukimbia vikao vya Bunge bado hajakidhi vigezo vinavyoweza kumrudishia hadhi yake. Haiingii akilini Profesa tunayemuamini kulikimbia Bunge linaloweza kujadili mambo na kufikia maamuzi yanayokubalika kikatiba badala yake anajiunga na kundi lililosheheni ushabiki kwenda mitaani na kufanya mikutano inayohamasisha hisia nje ya Bunge la Katiba ambavo kwa vyovyote matokeo yake hayatumiki kwenye Bunge.

Ni ushauri tu kwamba Prof aombe tu samahani kwamba ilikuwa slip of tongue na awashauri wenzake warudi Bungeni tuendelee kupata michango na hoja makini kutoka kwa watu makini.

Arudi bungeni kufanya nn? na CCM munajiita eti mlio wengi mumeacha kujadili rasimu ya katiba iliyopendekezwa na tume ya mabadiliko ya katiba ambayo imesheheni maoni ya watanzania badala yk munajadili ajenda za ccm kwenye ilani za chama chenu ili kulinda maslahi yenu mmoja mmoja badala maslahi ya Taifa zima.

Isitoshe sasa mumeanzisha mfumo wa matusi munamtukana mwenyekiti wa tume, na maalim seif kila mjumbe wa ccm anayesimama kama vile mumelishizwa bangi au pombe, mumekuwa hamna hoja zaidi ya kurudia rudia porojo zenu.

Rushwa ya chakula na maji, hongo ya pesa kwa wajumbe na vitisho vya kila aina mara nchi itachukuliwa na jeshi tena inaongelewa na viongozi wa juu wa chama cha Mapinduzi akiwemo mtu wa kwanza Rais wa nchi, unafkiri kwa mantiki hiyo kwanini wasitoke bungeni ili kupisha kulinusuru Taifa ya nchi kukabidhiwa jeshi na vita.

Kama ulimsikia Asha bakari alimwambia jussa nchi hsikupatikana kwa karatasi mana yake kama tunataka maoni ya wananchi yafuatwe nchini lazima tujipindue wenyewe kwanini ukawa wasitoke. Mimi kwa mtazamo wangu walipaswa kutokuingia bungeni tokea siku tu JK mkuu wa nchi alipolihutubia bunge.
 
Weweeee!! wamefanya "amani". Wananchi wa tanzania wameamua kuvumilia kuleta amani na utulivu!! katika ya dhulma za ufisadi, uporaji, wizi na ukandamizaji wa CCM!! CCM ni Nterahamwe!!

asidanganye watu eti CCM ameleta amani, Watanzania tu waiweka hiyo amani sio wauwaji, umemjibu vizuri sana
 
Lipumba amesahau kuwa CCM ni chama Tawala na ndio walioifanya nchi hii kuwa na amani na utulivu.

Nani kakudanganya Intarahamwe hawakuwa watawala wa Rwanda? Acha kuchukulia mambo kizembe, hata makaburu walikuwa watawala huko Afrika kusini lakini wabaguzi.


Itarahamwe waliitawala Rwanda na pia wakasababisha mauaji.

Kazi ni kwako.
 
Lipumba amesahau kuwa CCM ni chama Tawala na ndio walioifanya nchi hii kuwa na amani na utulivu.
Wacha hizo weweeee, kwani matusi ndio amani? Kutawala ndio cheti cha kuruhusu matusi? Uungwana ni vitendo bana, interahamwe hatuwaaki T anzania
 
Interahamwe ni interahamwe tu hata wabadili mavazi, wanaoumia ujue jiwe limewapata!
 


Kitendeo alichokifanya Prof Lipuma akilingani na heshima anayopewa na jamii achilia mbali kuwa wasomi wanamtegemea sana katika fani ya Uchumi na masuala mengine kwani ni mingoni mwa watu makini ambao maandiko na matamshi yake vyaweza tumiwa na wasomi kwenye tafiti za kitaaluma. Kama ni kweli ni yeye ametoa ufafanuzi kwa kile alichomaanisha kuwaita wajumbe wenzake ma Intarahamwe na kukimbia vikao vya Bunge bado hajakidhi vigezo vinavyoweza kumrudishia hadhi yake. Haiingii akilini Profesa tunayemuamini kulikimbia Bunge linaloweza kujadili mambo na kufikia maamuzi yanayokubalika kikatiba badala yake anajiunga na kundi lililosheheni ushabiki kwenda mitaani na kufanya mikutano inayohamasisha hisia nje ya Bunge la Katiba ambavo kwa vyovyote matokeo yake hayatumiki kwenye Bunge.

Ni ushauri tu kwamba Prof aombe tu samahani kwamba ilikuwa slip of tongue na awashauri wenzake warudi Bungeni tuendelee kupata michango na hoja makini kutoka kwa watu makini.

Ccm ni kweli interahamwe hadi wamesababisha umasikini nchini mwetu
 
Back
Top Bottom