mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,917
Mueleze huyoTanga ni the best aisee,mbeya ijipange chaaaa
Mueleze huyoTanga ni the best aisee,mbeya ijipange chaaaa
Hongera kwa matusi,nafikiri yanaasksi ulivyoMajiji mangapi? Na wewe Umesema TANGA ni manispaa? Bwege kweli wewe... Mkikaa huko bara mnapakana Ujinga.... Mbeya shambani Tanga mjini wewe!
Nilikuwa nataka nikuombe msamaha.... Lakini naona na wewe umerudishia kiaina.... Hata hivyo samahani bwana Njobepo.Hongera kwa matusi,nafikiri yanaasksi ulivyo
Tanga imepata hadhi ya jiji kabla ya Mbeya ndio maana wanakuuliza umri wako pengine wakati Tanga wakipata hadhi ya jiji ulikua chekecheaMiaka yangu inalinganishwaje na majiji
Mimi ni mtu mzima wakati Tanga inapewa hadhi ya jiji nilikuwepo Tanga, hata Mbeya ilipopata Hadji hiyo najua vema. Nimepata nafasi ya kutembea Tanzania nzima, hivyo naielewa vema nchi yangu. Nilikomenti makusudi kuita Tanga manispaa nikitegemea najadiri na waungwana. Nilijua watakuja na lugha yetu watu wazima,lakini matusi sio jadi yangu. Hata elimu ndogo niliyonayo imenifunza kuheshimu maoni ya wengine bila buggudha.Tanga imepata hadhi ya jiji kabla ya Mbeya ndio maana wanakuuliza umri wako pengine wakati Tanga wakipata hadhi ya jiji ulikua chekechea
Unamuomba msamaha wa nini huyu kil.aza anaejifanya katembea miji yote?kama angekua ana akili hata za kuendea dukani asingecomment utumboNilikuwa nataka nikuombe msamaha.... Lakini naona na wewe umerudishia kiaina.... Hata hivyo samahani bwana Njobepo.
Hadji = HadhiMimi ni mtu mzima wakati Tanga inapewa hadhi ya jiji nilikuwepo Tanga, hata Mbeya ilipopata Hadji hiyo najua vema. Nimepata nafasi ya kutembea Tanzania nzima, hivyo naielewa vema nchi yangu. Nilikomenti makusudi kuita Tanga manispaa nikitegemea najadiri na waungwana. Nilijua watakuja na lugha yetu watu wazima,lakini matusi sio jadi yangu. Hata elimu ndogo niliyonayo imenifunza kuheshimu maoni ya wengine bila buggudha.
Ha ha ha ha ha ha.... Mpe huyo!Tanga imepata hadhi ya jiji kabla ya Mbeya ndio maana wanakuuliza umri wako pengine wakati Tanga wakipata hadhi ya jiji ulikua chekechea
Maoni kitu kingine na facts kitu kingine.... Huwezi kutoa maoni wakati kuna facts..... Kwa huwezi mimi maoni yangu 'dunia ni kubwa kuliko jua' wakati fact ipo kwamba jua ni kubwa kuliko dunia.Mimi ni mtu mzima wakati Tanga inapewa hadhi ya jiji nilikuwepo Tanga, hata Mbeya ilipopata Hadji hiyo najua vema. Nimepata nafasi ya kutembea Tanzania nzima, hivyo naielewa vema nchi yangu. Nilikomenti makusudi kuita Tanga manispaa nikitegemea najadiri na waungwana. Nilijua watakuja na lugha yetu watu wazima,lakini matusi sio jadi yangu. Hata elimu ndogo niliyonayo imenifunza kuheshimu maoni ya wengine bila buggudha.
Sawa bwana tutafananisha na mtwala.... Lkn unaonaje kama ungetumia muda kidogo angalau ukajua majina ya miji kwa usahihi kabla ya kuanza kukomenti humu.Mbeya pambanisha na Mwanza wakati Arusha na DSM..tanga na mtwala
Hivyo vijumba viwili vitatu ambavyo viko pembeni ya barabara ya DAR-Tunduma ndo mnaita jini... Acheni ushamba nyinyi.Aisee Achana na mbeya kabisa View attachment 475165View attachment 475166View attachment 475167View attachment 475168View attachment 475169View attachment 475170View attachment 475171View attachment 475172View attachment 475173View attachment 475174View attachment 475175View attachment 475176View attachment 475177
Hivyo vijumba viwili vitatu ambavyo viko pembeni ya barabara ya DAR-Tunduma ndo mnaita jini... Acheni ushamba nyinyi.
NADHANI UNGEJARIBU KUSAFIR KWENDA HII MIKOA UKAJIONEA MAANA INAVYOONESHA HUJUI UHALISIA WAKE KABISA ndO MAANA UKAULIZA,
SASA KWEL UNAWEZA UKALINGANISHA MBEYA KWA TANGA,KIJIJI NA MJI?
SHAME ON YOU!
KWA KIFUPI MBEYA NI MJI MJUBWA SANA HAUWEZ UKALINGANISHA NA TANGA,TANGA NI MJI WA KISWAHILI,
Tanga. Tatizo la Mbeya asilimia kubwa ya wanawake wana misuli Kama John Cena.
Ahahahaha mkuu hata maghorofa Mbeya wameanza kuyaona miaka ya 2000's wakati Tanga yalikuwepo kabla ya ukoloni. Yaani Mbeya hata kwa Morogoro haingii seuse Tanga?acha kuifananisha Tanga yetu na vitu vya ajabu ajabu Mbeya starehe yao ni baridi tu
ova