Rufus - Create bootable USB drives the easy way download hio its save and fineKaka bado sijafanikiwa
Ulikuwa unatumia modem gani unatumia modem gani kwa sasa? kama ni za HUAWEI zinakuja pamoja na software za linux naweza kukuelekeza jinsi ya kuinstall.mwaminifuhalisi Siku za nyuma niliwahi Kuinstall Ubuntu. Lakini nikaitoa baada ya kushindwa kuinstall programu kadhaa nilizokuwa natumia katika Windows. Nilishindwa kuinstall hata modem. Natamani kuinstall na kutumia Ubuntu lakini sijui kama ntaweza kuinstall programu nizitakazo. Naomba maelekezo.
Extension ya hiyo image ya kali ni *.ISO? au ni *.rarIla hiyo linux nilishadownload tokea mwanzo na limedownlodika kwa winrar
MR jaribu kwenda kwenye "boot manager" halafu "Boot Device Options" na kisha uiturn off "secure boot".Jamani mimi naomba msaada wa kuinstall kali linux maana ninapoanza kuboot inakuja massage remove disk or other media press any key to restart
Ulikuwa unatumia modem gani unatumia modem gani kwa sasa? kama ni za HUAWEI zinakuja pamoja na software za linux naweza kukuelekeza jinsi ya kuinstall.
Kikawaida ubuntu version za karibuni inakuja karibu drivers zote japokuwa broadcom wireless adapter inabidi ufanye setting kidogo, kuhusu hiyo E303 modem inafanya kazi vizuri kabisa na software yake unaweza install kwenye ubuntu. na nakushauri weka dual boot(windows na ubuntu).Natumia huawei E303 ya Tigo.
Itabidi nidownload Ubuntu na ni Install tena.
Wasiwasi wangu ni namna ya kuitumia. Je masuala ya sauti na
Display yatakuwa poa au kuna mambo ya kufanya
ili iwe sawa. Samahani sipo vzr sana kwenye OS ya Ubuntu.
mimi mwaka wa kumi natumia ubuntu na application za windows baadhi hata hivyo linux nao wana apps nzuri tuh sio lazima uweke hizo za windows, so ushauri wangu anagalia apps za windows ambazo unazitaji saana then search kwa upande wa linux unapata trust me ila zina utofauti kidogo. au waweza tumia wine/playonlinux or ukishindwa kabisa install virtual machine then weka O.S yako ya windows alafu utakua uki run endapo unataka kutumia hio application yako ili mradi ubakie kwenye ubuntu mie ndo uwa na fanya hivyo....aise karibu saana ilove linux maana ni freeee hata state naweza zama nayo bila kukamatwa hahahamwaminifuhalisi Siku za nyuma niliwahi Kuinstall Ubuntu. Lakini nikaitoa baada ya kushindwa kuinstall programu kadhaa nilizokuwa natumia katika Windows. Nilishindwa kuinstall hata modem. Natamani kuinstall na kutumia Ubuntu lakini sijui kama ntaweza kuinstall programu nizitakazo. Naomba maelekezo.
usigope iweke kwenye flash then boot kwa flash alafu chagua try ubuntu , alafu utaitumia bila ku install so hapo utakagua sauti, display, wifi, bluetooth na vingine alafu utaji ridhisha kua kila kitu kiko sawa then utamua ku install kuhusu moderm hasa hizi za huawei hazina shida zina soma kama kawa una haja ya settings mie natumia modem ya voda na iko poa tuNatumia huawei E303 ya Tigo.
Itabidi nidownload Ubuntu na ni Install tena.
Wasiwasi wangu ni namna ya kuitumia. Je masuala ya sauti na
Display yatakuwa poa au kuna mambo ya kufanya
ili iwe sawa. Samahani sipo vzr sana kwenye OS ya Ubuntu.
nenda www.google.com then search ubuntu fungua link ya kwanza alafu nenda download chagua desktop utaona ushauri wangu download 16.04.1LTS hio ndo nzuri ina support hadi mwaka 2019 tofauti na hio 17.04 inakua sio stable alafu ni short term na ina manjonjo mengi tuhWakuu napataje Ubuntu?
Asante mkuu ngoja nijaribunenda www.google.com then search ubuntu fungua link ya kwanza alafu nenda download chagua desktop utaona ushauri wangu download 16.04.1LTS hio ndo nzuri ina support hadi mwaka 2019 tofauti na hio 17.04 inakua sio stable alafu ni short term na ina manjonjo mengi tuh
uget work for me 😀 ila hio mzuka piaALTERNATIVE TO IDM IN LINUXzipo software zinazoweza fanya kazi kama IDM japo si kwa kiasi kile kama ilivyo Internet Downloader Manager, software hiyo ni Xtreme Download Manager (XDM), jinisi ya kuinstall kwa kutumia Terminal.
halafu andika code ku-updateCode:sudo add-apt-repository ppa:noobslab/apps
Code:sudo apt-get update
Install xdman
Code:sudo apt-get install xdman
Download tena iwe na extension ya *.ISONaona ni rar kaka
Hii uget mbona mi huwa inanichanganya!!uget work for me 😀 ila hio mzuka pia