Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,580
- 3,926
daah nilifikiri upo dar mkuu
Hahaha ulifikiri mimi mwanaume wa dar
daah nilifikiri upo dar mkuu
nina laptop ya macbook pro retina display
RM 8gb
processor 2.5 ghz
hard disk 500
nisaidieni jinsi ya kupiga window 2
tafadhali msaada
Wadau sijapata solution help plzView attachment 508207 Nina install Ubuntu kwa PC Ila ninapata hiyo message, how can I by pass so that I can install dual boot in a pc. Computer ni HP spectre
Ulitumia software gani kuburn hiyo flash.Wadau sijapata solution help plz
Tumia universal USB installer ipo humuView attachment 508207 Nina install Ubuntu kwa PC Ila ninapata hiyo message, how can I by pass so that I can install dual boot in a pc. Computer ni HP spectre
Hiyo specifications zake zikojeGoodnews na share na wanangu nimeuza ki notebook changu nimeongeza hela kiduchu tuh asaivi na netbook mbaya na ina sukuma ubuntu 16.04 lts hadi raha i love ubuntu :* ndo na format kitu hapa
Ni lenovo x131e, ram 4gb maximu hadi 8gb, cpu 1.5ghz dual core, harddisk 320gb aise kaka iko bomba saana ina run smoothly.... o.s ubuntu 16.04 lts 64bit full apps iko nondo hapaHiyo specifications zake zikoje
mkuu natoa feedback, nimefanikiwa niko poa mie nilikua na copy link na paste kwenye url to alafu na download nilikua na pata tabu kumbe naona hi ni ki download ina link na uget thanks alot nimefanikiwa 100%Good hapo umenionesha kitu nilikua siki pati, mie nilikua nafungua uget na copy liink na paste nashusha hi njia seems ina kua ndani ya browser kabisa
Inategemewa kukamilika lini hiyo project.Android kuna image kwa virtual machine ila ipo project kwa ajili ya PC.
Hii project ipo tayari na inatumika kwa baadhi ya PC. Pitia hii link kuweza kujua kama PC yako inaweza kubali.Inategemewa kukamilika lini hiyo project.
Asante mkuu, ina mana wametoa ya 32 bit tu kwanza?Hii project ipo tayari na inatumika kwa baadhi ya PC. Pitia hii link kuweza kujua kama PC yako inaweza kubali.
Android-x86 - Porting Android to x86
Ndio kwa sasa wanajaribu 32 ila huko mbeleni mradi ukifanikiwa watatoa 64.Asante mkuu, ina mana wametoa ya 32 bit tu kwanza?
Sehemu gani?Nipo mwanza mkuu
Sehemu gani?
Mwanza sehemu gani?Nipo mwanza mkuu
Mwanza sehemu gani?
Ok! Nikipata muda nitakucheki. Nipo mkolaniNipo bugando mkuu chuoni