Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

Good hapo umenionesha kitu nilikua siki pati, mie nilikua nafungua uget na copy liink na paste nashusha hi njia seems ina kua ndani ya browser kabisa
 
Nashukuru sana mkuu
kwa hili nimefanikiwa na nimejaribu
kupakua video Youtube na kila
kitu kipo safi. ahsante sana.
 
Nimefika hapo naomba muongozo wako

 
weka full log ya terminal. Hako kakipande hakasaidii. Ni kama kumwambia daktari mimi naumwa halafu unatarajia akwambie unaumwa nini
Ok, nilikuwa nataka upgrade linux nikatumia terminal 'sudo apt-get upgrade' ikarun kama masaa 6 hivi halafu ikafeli mwishoni yani inakuja
0 upgraded, 3 newly installed, 0 to remove and 0 not upgraded.
Need to get 0 B/2 548 kB of archives.
After this operation, 9 484 kB of additional disk space will be used.
Do you want to continue? [Y/n] Y
E: Sub-process /usr/bin/dpkg returned an error code (2)
 
Hiyo command sio ya kupgrade version, ukitaka version weka "sudo apt-get dist-upgrade" Ila before that make sure umerun "sudo apt-get update"
 
Mmmh yani masaa 6 then imetumia tu some KBS angalia internet connection yako kwanza kama ipo vizuri then run restart network manager then run tena hyo command
 
Mmmh yani masaa 6 then imetumia tu some KBS angalia internet connection yako kwanza kama ipo vizuri then run restart network manager then run tena hyo command
hapo net yako kimeo kabisa inawezekana labda ilikua kwenye 2G au gprs kabisa ndo maana ika chukua muda uwa aichukui muda kabisa hasa kwa ubuntu mpya. update then rudia upgrade
 
Asanteni wote nimefanikiwa kusolve tatizo langu la
E:Sub-process /usr/bin/dpkg returned an error code (2)?
 
Habari, mkuu bado nashindwa kukuelewa, google earth ulikuwa unaiweka kwenye ubuntu ndio ikagoma? au unatumia computer yenye OS ya chrome au browser tu ya chrome?
 
Napenda sana kali linux na linux kwa ujumla. kwani wao wapo specific zaid ukilinganisha na windows mfano ukitaka ambayo ipo kama windows(desktop version) utatumia ubuntu ukitaka kwa ajili ya hacking utatumia kali linux.

Kali linux kwa sasa wana 1641 exploits, 473 payloads, 945 auxiliary, 289 post, 40 encoders na 9 nops kupita kwenye metasploit vyote ni kwaajili ya hacking au penetration ktk system nyingi kama vile windows, android, linux n.k

kabla ya kali linux ilikuwa kali sana na kabla ya kali sana ilikuwa backtrack. zote ni distro kwa ajili ya hacking kwani zina tools ambazo inakuja nazo so haina haja ya ku install kwani nyingi zipo. nikipata muda nitaanzisha somo hapa kwani ni raha sana ku control computer nyingine bila ya mwenye computer au simu kujua.

angalizo sishauri au kuwahimiza watu ku hack system ambazo hawajaruhusiwa. ukikamatwa ni kosa na hata hivyo hupendezi ukiwa ktk suti za orange. kwa wenzetu kuna kitu wanaita ethical hacking ambayo unapewa ruhusa kuangalia kama kuna mapungufu ktk system zao kupitia hacking.
 
Habari, mkuu bado nashindwa kukuelewa, google earth ulikuwa unaiweka kwenye ubuntu ndio ikagoma? au unatumia computer yenye OS ya chrome au browser tu ya chrome?
Mimi sina computer ila nina Google chrome hivyo naweza kuitumia tu kama nina network.
 
Guys naomba link au sehem ambapo ntaweza kusoma linux server
 
Mkuu ukiwa tayari toa somo
 

Umeisahau suse linux mkuu tolea la mjerumani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…