Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

Mkuu nikisha download nafanyaje ili iweze kurun
 
Pande hii tumeshindwana kwenye softwares, otherwise ubuntu 16 ni nzuri sana. Zamani nilikuwa natumia wine kuziweka lakini haiwezi kufanya kazi kwa software kubwa.
Wine pekee (vanilla) huwa inashindwa kuinstall baadhi ya software. Software ipi iliyokataa?
 
Mkuu nikisha download nafanyaje ili iweze kurun
kama umeshadownload pakua hii software kwanza
Universal-USB-Installer-1.9.5.2.exe

kisha burn flash yako ili iwe boot-able halafu restart computer yako na ubonyeze haraka F12.

kisha utachagua kama unataka kui-try ubuntu au unataka kuinstall na itakuuliza iwapo unataka iwe pamoja na windows (dual boot).
 
Hii ni desktop lakini haikubali kuconnect na wifi mpka nitumie waya
 
Hii ni desktop lakini haikubali kuconnect na wifi mpka nitumie waya
Achana na hizo WiFi unaweza kuziignore, hapo unatakiwa kucreate partition ilivyo kwenye mtindo wa fat ingia kwenye disk management.
 




Mkuu Kwa install Gnome katika Ubuntu 16.04.........

Code:
sudo add-apt-repository ppa:gnome3-team/gnome3-staging

sudo add-apt-repository ppa:gnome3-team/gnome3

Mkuu Hii code ina error
Code:
sudo apt-get install --no-install gnome-panel
 
tumia tu hii code hiyo command ilikuwa ni kwa gnome za zamani
Code:
gnome-desktop-item-edit --create-new ~/Desktop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…