Mimi Ubuntu ndio home wala sipati shida. Nimeshaacha kutumia windows huu ni mwaka wa tatu sasa. Commands nyingi nazifahamu, ktk installation ya software wala sio kazi just a single line you are done. Napenda Ubuntu because kuhusu package zipo free. Unahitaji one line of command kila kitu kinakuwa vizuri. Mfano R, Python, SageMath, Scilab, Octave. Pia ipo vizuri kama unataka kutumia LaTeX. Mimi kuhusu suala la Antivirus nilisahahu kabisa. Windows nimeiweka kwa ajili ya wife ambaye huwa anatumia kwa kucheza karata.