Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,619
Mkuu Ritz ingependeza ukitoa hongera kwa Chadema kumpata Katibu Mkuu mwenye elimu ya juu sana Mara elfu moja ya yule muuaji wa tembo, yule aliyeiba machine ya kufulia mashuka hospitali ya ArushaDaah!! Siasa hizi Chadema ndiyo watakatifu.
Teh teh teh!