Lini Tulia Ackson alikuwa mwana CCM, na je lini Vicent Mashinji alikuwa mwana CHADEMA?

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
Hilo la Dr. Tulia Ackson liliulizwa sana na wana wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wakati rais anamteua kuwa Mbunge na baadaye kugombea nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

CV ya Vicent Mashinji nimeipitia kama ilivyowasilishwa na Yeriko Nyerere humu jukwaani, sijaona utumishi wake wa kutoka ndani ya Chama kutosheleza kushika nafasi nyeti kabisa ya Katibu Mkuu wa Chama.

Tutambue kuwa Katibu Mkuu ni zaidi ya mgombea urais, huyu mjenzi wa chama, sioni tatizo kwa Lowassa kutoka tu CCM na kwenda kugombea urais au Juma duni haji kununuliwa kwenda kuwa mgombea mwenza wa Lowassa. Hawa walikuwa na malengo yao na wale waliowakaribisha nao malengo yao yalitimia.

Katibu Mkuu anatakiwa kwanza awe anakijua chama vizuri kabla ya kutoka nje ya Chama. Kwanini hakuwa Mnyika, Mwalimu, Lissu, Antony Komu, Mrema n.k?
Lini Mashinji alikuwa CHADEMA?
 
Hilo la Dr. Tulia Ackson liliulizwa sana na wana wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wakati rais anamteua kuwa Mbunge na baadaye kugombea nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

CV ya Vicent Mashinji nimeipitia kama ilivyowasilishwa na Yeriko Nyerere humu jukwaani, sijaona utumishi wake wa kutoka ndani ya Chama kutosheleza kushika nafasi nyeti kabisa ya Katibu Mkuu wa Chama.

Tutambue kuwa Katibu Mkuu ni zaidi ya mgombea urais, huyu mjenzi wa chama, sioni tatizo kwa Lowassa kutoka tu CCM na kwenda kugombea urais au Juma duni haji kununuliwa kwenda kuwa mgombea mwenza wa Lowassa. Hawa walikuwa na malengo yao na wale waliowakaribisha nao malengo yao yalitimia.

Katibu Mkuu anatakiwa kwanza awe anakijua chama vizuri kabla ya kutoka nje ya Chama. Kwanini hakuwa Mnyika, Mwalimu, Lissu, Antony Komu, Mrema n.k?
Lini Mashinji alikuwa CHADEMA?
JPM zaidi ya kuwa mwana ccm hajawahi kuwa na cheo chochote ndani ya ccm kuna watu pale walishika vyeo kibao ila cc na nec ya ccm ikawakata
Tambua Mashinji alikuwa mwanachama wa CDM kwa miaka mingi
Suprises hazipo ccm tu hata cdm zipo najua ulitaka atajwe sumaye au lowassa mseme chama cha kaskazini
 
Hilo la Dr. Tulia Ackson liliulizwa sana na wana wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wakati rais anamteua kuwa Mbunge na baadaye kugombea nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

CV ya Vicent Mashinji nimeipitia kama ilivyowasilishwa na Yeriko Nyerere humu jukwaani, sijaona utumishi wake wa kutoka ndani ya Chama kutosheleza kushika nafasi nyeti kabisa ya Katibu Mkuu wa Chama.

Tutambue kuwa Katibu Mkuu ni zaidi ya mgombea urais, huyu mjenzi wa chama, sioni tatizo kwa Lowassa kutoka tu CCM na kwenda kugombea urais au Juma duni haji kununuliwa kwenda kuwa mgombea mwenza wa Lowassa. Hawa walikuwa na malengo yao na wale waliowakaribisha nao malengo yao yalitimia.

Katibu Mkuu anatakiwa kwanza awe anakijua chama vizuri kabla ya kutoka nje ya Chama. Kwanini hakuwa Mnyika, Mwalimu, Lissu, Antony Komu, Mrema n.k?
Lini Mashinji alikuwa CHADEMA?
Unapojadili maamuzi matakatifu ya Chadema, jivue blanket la ki CCM. Tumia hata wiki nzima kutafakari. Huenda una hoja, tatizo blanket ulilojifunika wakati unaleta hii hoja ni tatizo
 
Ndio maana Makamanda siku zote wanaitwa Nyumbu... Wao ni Yes....


Wanakuja na blah blah kuwa Vicent ni katibu mkuu Msomi dunia nzima... Elimu yenyewe ya kuunga unga.
 
Unapojadili maamuzi matakatifu ya Chadema, jivue blanket la ki CCM. Tumia hata wiki nzima kutafakari. Huenda una hoja, tatizo blanket ulilojifunika wakati unaleta hii hoja ni tatizo
Daah!! Siasa hizi Chadema ndiyo watakatifu.

Teh teh teh!
 
Hivi unaijua tofauti ya Tulia na Mashinji ?? Kuwa daktari kuna kunyima vipi haki yako ya kuwa mwanachama wa chama chochote kile ??
 
Hilo la Dr. Tulia Ackson liliulizwa sana na wana wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wakati rais anamteua kuwa Mbunge na baadaye kugombea nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

CV ya Vicent Mashinji nimeipitia kama ilivyowasilishwa na Yeriko Nyerere humu jukwaani, sijaona utumishi wake wa kutoka ndani ya Chama kutosheleza kushika nafasi nyeti kabisa ya Katibu Mkuu wa Chama.

Tutambue kuwa Katibu Mkuu ni zaidi ya mgombea urais, huyu mjenzi wa chama, sioni tatizo kwa Lowassa kutoka tu CCM na kwenda kugombea urais au Juma duni haji kununuliwa kwenda kuwa mgombea mwenza wa Lowassa. Hawa walikuwa na malengo yao na wale waliowakaribisha nao malengo yao yalitimia.

Katibu Mkuu anatakiwa kwanza awe anakijua chama vizuri kabla ya kutoka nje ya Chama. Kwanini hakuwa Mnyika, Mwalimu, Lissu, Antony Komu, Mrema n.k?
Lini Mashinji alikuwa CHADEMA?
Who are you ????????????????
 
JPM zaidi ya kuwa mwana ccm hajawahi kuwa na cheo chochote ndani ya ccm kuna watu pale walishika vyeo kibao ila cc na nec ya ccm ikawakata
Tambua Mashinji alikuwa mwanachama wa CDM kwa miaka mingi
Suprises hazipo ccm tu hata cdm zipo najua ulitaka atajwe sumaye au lowassa mseme chama cha kaskazini
Mkuu wanafisiem walikuwa wakisubiri mfupa udondoke ili wapate cha kusema
 
U
Ndio maana Makamanda siku zote wanaitwa Nyumbu... Wao ni Yes....


Wanakuja na blah blah kuwa Vicent ni katibu mkuu Msomi dunia nzima... Elimu yenyewe ya kuunga unga.
Ushahidi wa kuungaunga please,naona unaanza kujinyea kwa sindano hii ya quinine
 
Chadema wao matatizo wanayaona yakitokea CCM lakini kitu kile kile wakifanya wao "wanakitakasa" kwa nguvu zote ....
 
Ndio maana Makamanda siku zote wanaitwa Nyumbu... Wao ni Yes....


Wanakuja na blah blah kuwa Vicent ni katibu mkuu Msomi dunia nzima... Elimu yenyewe ya kuunga unga.
Pamoja na elimu yake ya kuunga unga. Tutajie katibu Mkuu wa Chama cha Siasa unachokifahamu duniani anaemzidi Elimu ili tuamini maneno yako, unaweza kuwa upo sahihi labda
 
Team 46 FISIEM walikuwa wameshaandaa Nyaraka zao kwenye word document kabisa zenye tuhuma nzito kwa watu waliokuwa wamedanganywa kuwa ndio watateuliwa.

Yaani ilikuwa ni ku copy na ku paste JF kutoa shutuma na tuhuma kwa wale waliokuwa wanafiria watakuwa /teuliwa kuwa GS.

Sasa wametahayari,wamepigwa chenga ya Mwili,wana waya waya.
Mbowe hapa amecheza kama Messi na Ronaldo kwa wakati mmoja.

Team FISIEM 46 wamebaki kutoa tuhuma nyepesi na za Kipuuzi kama ifuatavyo.

1. Dr Mashinji mara mtu wa TISS.
2. Alikuwa Champion wa Mogomo.
3. Mara hajawahi kuwa Mwana Chama wa CHADEMA.
4. Mara hana Mchango CHADEMA

My take

Team FISIEM 46 tunaomba basi nyie mseme mlimtaka nani awe Katibu Mkuu wa CHADEMA ?????
 
Back
Top Bottom