LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
Kikatiba Ukomo wa wakuu wa mikoa na wilaya ni miaka mitano. Baada ya hapo uteuzi unatakiwa kufanyika tena. Mpaka sasa miaka miwili imepita Rais hajateua wakuu wa wilaya. Tatizo nini?
Hapo si kuvunja Katiba ya nchi?
Hapo si kuvunja Katiba ya nchi?