Lini binadamu alianza kuongea?Je lugha msingi wake ni nini?

Nanyaro Ephata

JF-Expert Member
Jan 22, 2011
1,221
1,788
Wakuu salaam

Ninaomba wajuzi wa mambo watusaidie,nimejaribu kupitia tafiti mbalimbali kuhusu lini hasa binadamu alianza kuongea(kutamka maneno) na ilikuwaje,neno la kwanza lilikiwa nini!
Nini kilimsukuma kutamka etc kwenye tafiti hizi sijapata jibu la moja kwa moja
Na je lugha ina umri wa miaka mingapi?kwenye tafiti mbalimbali wanasema kuwa kuna lugha zaidi ya 7000(elfu saba) duniani! Maana yake watu 7bil wanazungumza lugha 7000 tu,jaribu kugawanya!
Na je ni neno gani linazungumzwa kuliko mengine?

Naomba msaada tafadhali
 
Lugha zilianza siku ya kwanza binadamu kuundwa.Adamu na Eva walikuwa wakigombea

Lugha ni go alizaliwa wakati wa ujenzi wa mnara wa Babeli
 
Mi nadhani lugha ilizuka kwa bahati na sibu Kama matokeo ya Mwanadam kutaka kuelezea hisia, mawazo na matamanio yake.
 
is the very long story. but funny thing is still we are not sure about the story.so where the story come from?, if all sons of God and daughters of men nothing they knew or know till now (2021 years of new error)
 
is the very long story. but funny thing is still we are not sure about the story.so where the story come from?, if all sons of God and daughters of men nothing they knew or know till now (2021 years of new error)
 
Anza kuwaza hili "we are coded" na "we have brain" language is art and we are the artist.
 
Lugha ni sauti za nasibu zinatumika katika kuwasiliana! Lugha zimeanza kutumika pindi binadamu alivyoumbwa!! Rejea Nyoka na hawa walielewanaje mkuu?
 
Lugha ni sauti za nasibu zinatumika katika kuwasiliana! Lugha zimeanza kutumika pindi binadamu alivyoumbwa!! Rejea Nyoka na hawa walielewanaje mkuu?


Unamaana ni nyoka huyu huyu "mnyama" mwenye sumu, mfano koboko ndiye aliyeongea na mtu ???
 
Ndio Mkuu kwa Mujibu wa vitabu vya dini.


Sio kila andiko la dini hutafasiriwa jinsi lilivyo (literally) kwani kuna maandiko mengine huwa ni mifano (figure of speech), na hata Bwana Yesu aliongea kwa mifano naye alikuwa ni mtaalamu sana wa kuongea kwa mifano/mafumbo, sasa haitaingia akilini kuchukua kila neno lake "kavukavu".

Katika lugha za kidini nyoka anayeongea ni mtu-adui/ mtu muovu na wala haina maana ni nyoka-mnyama, kama tuchukue huyo nyoka alikuwa ni nyoka-mnyama sasa ilikuaje leo asiweze kuongea tena wakati binadamu yeye bado anaongea??-- kitu gani kilimsibu??.
 
Sio kila andiko la dini hutafasiriwa jinsi lilivyo (literally) kwani kuna maandiko mengine huwa ni mifano (figure of speech), na hata Bwana Yesu aliongea kwa mifano naye alikuwa ni mtaalamu sana wa kuongea kwa mifano/mafumbo, sasa haitaingia akilini kuchukua kila neno lake "kavukavu".

Katika lugha za kidini nyoka anayeongea ni mtu-adui/ mtu muovu na wala haina maana ni nyoka-mnyama, kama tuchukue huyo nyoka alikuwa ni nyoka-mnyama sasa ilikuaje leo asiweze kuongea tena wakati binadamu yeye bado anaongea??-- kitu gani kilimsibu??.

Nimekuelewa Mkuu.
 
Neno linalozungumzwa ( kutamkwa) kuliko mengine ni Baba na Mama.
 
Mi nadhani lugha ilizuka kwa bahati na sibu Kama matokeo ya Mwanadam kutaka kuelezea hisia, mawazo na matamanio yake.

Lugha ni sauti za nasibu zenye maana kwa ajili ya kuelezea hisia za mwanadamu 😁😁😁

Swali ni je kama zilizuka kwa bahati nasibu ilikuwaje watu waanze kuelewana, ingezuka kwako maana ako ingekuwa unaielewa wewe wengine tusingeelewa
 
Sauti inayotoka kinywani ndio sababu ya viumbe vyote kuelewana
Maana yake ni kuwa kama sauti imatoka hata kwa nyangumi wataelewana tu
Na neno Mama ndio lina nguvu sana kwa binadamu
Swali kuwa tulianza lini kuongea ni tangu enzi
 
Back
Top Bottom