tigo pesa 270k
mpesa 170k
airtel 120k
utapata na logbook zake zikiwa mpya pia
0712191251 ...blessed
yes andaa tin number' lessen ya biashara ' na copy ya kitambulisho tu
Nakushauri usikubali kupewa bila ya jina lako utalia mwisho wa sikunamanisha hizo unazouza zinawezekana kuwa kwenye jina langu? Yani labda kuna proces ya kubadilisha ikawa ktk jina langu?
namanisha hizo unazouza zinawezekana kuwa kwenye jina langu? Yani labda kuna proces ya kubadilisha ikawa ktk jina langu?
ndio nilichokinaanisha unatakiwa uwe na vitu hvyo hapo juu ili uwez kupta kwa jina lako coz line ni mpya hazijatumika kwa maelez zaid nichek kwa hyo number upte maelekezo
Hivi line mpya za uwakala zinauzwa!?:what::what:
kumbe ni bure kila mwanakijiji angekuwa na yake
kumbe ni bure kila mwanakijiji angekuwa na yake
bora umempa jibu zuri ...line za wap bure? mm binafsi toka nimeambiw nisubr huko shop two months now mpk nimeamua kuchukua tu kwa watu ..hlf lzm uwe na mtaji mrefu bado usumbuliwe tena ....
njoo makao makuu ya airtel unapata line yako ndani ya siku moja kwa jina lako kwa Tsh.80,000/= tu. Usisahau kuja na leseni, tin number na kitambulisho. Onyo usitoe hela mpaka uhakikishe line yako inafanya kazi kwa jina lako.hata mi nimenuna za watu unajaza fom ungoja miez 6mmmh
bora umempa jibu zuri ...line za wap bure? mm binafsi toka nimeambiw nisubr huko shop two months now mpk nimeamua kuchukua tu kwa watu ..hlf lzm uwe na mtaji mrefu bado usumbuliwe tena ....