Nenda kwa voda shop na lesseni, TIN number na kitambulisho.. Afu uje utoe mshindo nyuma hapa mbele ya kadamnasi hii..
hayo yote mm nayajua nanimeshayapitia hizo shop zote nilienda nikajaza form nimesubr huu mwez wa tatu bila mafanikio nikaamua kuchukua kwa dellers naendelea na kazi ..so hayo ya lessen bra bra ysnajulikana yote .. anyway tusimjazie mwenzetu msg kweny tangazo lake coz inakuw si ustaharabu ...
Tatizo siyo kupiga kazi je amepata hizo line kwa majina yake? sasa subiri hizo line zipotee au ziibiwe uone balaa lake kuzirudisha.Huyu sister nommy namkubali coz kuna jamaa angu kanunua inapga kazi vizuri, ila hyo bei iko juu tgo 150 nikupe mpesa ntajarb ktafta kwa jna langu
Tatizo siyo kupiga kazi je amepata hizo line kwa majina yake? sasa subiri hizo line zipotee au ziibiwe uone balaa lake kuzirudisha.
Pole!
Uko wapi? Ulipeleka wapi document zako (shop gani ulijazia )
Kama hutojali ni PM jina lako uliloombea!
Haya we mwenye kujua kusoma atakuwa amenielewa ila mwisho wa siku maamuzi ni ya mtoa hela sababu hata siku utakayokuja kumliza me sitakuwepo.embu acha kunijazia msg zako zisizo umuhim kwangu si anzisha thread yako basi wangap washapoteza hzo line na wamenitafta nimewasaidia no research no conclusion team yangu naiamini an am in this business for a sometime... kama unauza na ww kitu tell people wachague wenyw an not othereise ..
huyo jamaa hapo juu lazima katumwa sibure ..au anatafuta kick za jamii si kawaida